luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
aisee kumbe hadi bm ya mchaga,tupo juu idara zoteUmesahau BM coach za Morogoro
aisee kumbe hadi bm ya mchaga,tupo juu idara zoteUmesahau BM coach za Morogoro
aisee basi mabasi yote tz tumetawalAKisbo
Mmiliki wake ni Blasto Makundiaisee kumbe hadi bm ya mchaga,tupo juu idara zote
Coastline na ile Mghamba wamilik wake wakina nani?asantee kumbe hadi bm ya kina mangi?
wachaga ni idara zote sio tu ITmosh raha sana alaf pia kwenye masuala ya IT nadhan wachaga weng ndio wapo kwnye hiyo platfom Kuna lile gorofa refu linajengwa pale karibu na nmb mandelaa naskia ni la mchaga flan pia
Aisee umetoka mwaka gani huko,Mimi nilikuwa Namanyere but weekends nilikuwa naspend sana Kirando na Kipili pale Navy.Nmekaaa sana kipili na kirando,hata namanyere nimedumu sanaaa,
Namjua dada yao mwenye freys coachMzee Mberesero ana watoto wawili wenye majina ya Francis,maana kama sikosei yule aliekuwa anasimamia Ngorika akafariki mwaka juzi alikuwa anaitwa Francis au sio huyo?
Ok nilikuwa sifahamu,big up kwake.Brasto Makundi,anatokea sehemu moja inaitwa Mamba komakundi
2012 kma sio 11,Nilitoka hukoAisee umetoka mwaka gani huko,Mimi nilikuwa Namanyere but weekends nilikuwa naspend sana Kirando na Kipili pale Navy.
Na wote tuseme aaameni.Ila mimi nawaheshimu sana hawa majangili waliofanya ujangili ukawatoa heshima iende kwao,heshima pia iende kwa majambazi sugu yaliyofanya ujambazi kwenye bank kubwa na mwisho yakatoboa,sisapiti ujangili ila na heshimu harakati zao za kutafuta pesa kwa njia yeyote
ila nawalaani wanaowageuza wenzao mandondocha ili wapate utajiri,kuua mama zao,kupewa masharti ya ajabu ajabu sikubaliani nao kabisa,kwani utajiri wao hawa ufaidi kama majangili yaliyotoboa,Mtu ameenda kenya kuiba pembe za tembo wa kenya ili alete mali Tanzania wakati Tanzania wapo huyo sio wa kumbeza hata mara moja hana utofauti na wazungu na waarabu wanaokuja kuchukua mali Afrika na kupeleka kwa heshima ziende kwa hao madon wa aina hiyo,bila kuwasahau wale wote walio rithi mali na kuziendeleza na heshima kwao,waliopata fursa serikalini na wakaitumia fursa hiyo kiuwekezaji na mimi kwangu sawa tu,Heshima kubwa kwa wale wana apollo waliokuja kutoboa
Bila kusahau wale wote wenye mtima nyongo na chuki dhidi ya maendeleo ya wana Kilimanjaro wote.Walaaniwe waua albino,vikongwe na n.k
Hadi ile Kisbo na Kibo ya Dar Mwanzaasantee kumbe hadi bm ya kina mangi?
Hivi mkuu kipili,ulikuwa unaenda lakeshore au lupita mkuuHadi ile Kisbo na Kibo ya Dar Mwanza
mghamba ni ya mpAre anAitwa enea mrutu diwani kata ya shighAtini mwangaCoastline na ile Mghamba wamilik wake wakina nani?
Ameen Kilimanjaro ndio mfano wa mAendeleo tzBila kusahau wale wote wenye mtima nyongo na chuki dhidi ya maendeleo ya wana Kilimanjaro wote.
Ameni!
kirando,namanyere,karema2012 kma sio 11,Nilitoka huko
Riz 1 ana hisa tuu pale panone ni ya ulomi ni jamaa fulani hivi hata miaka40 bado ila matusi yake balaaaMara ridhiwani sijui nini?
Nasikia kuna dhuluma ilifanyika ndo maana likawa vileMkuu kuna lile ghorofa pale Rau upande wa kushoto mbele ya Chuo Kikuu cha Ushirika ukitokea YMCA ambalo hakuna kiumbe anaeweza kuishi pale,hivi status yake mpaka sasa lipoje maana kuna kipindi nilisikia Mama Anna Mkapa alitaka kulinunua. Hilo ghorofa lilikuwa la Mkibosho fulani hivi.
Patrice ulomi chaga moja hiyo panone and company limitedRiz 1 ana hisa tuu pale panone ni ya ulomi ni jamaa fulani hivi hata miaka40 bado ila matusi yake balaaa