Justin Kavishe,uyu mzee ashafariki kitambo sanaNjiwa Hardware aliishia wapi nae?
Ngoja niendeleze list kidogo,
Temba watch
Solani & sons
Boisafi
Deo Lekule
Ibra Shayo
Maleko enterprises
Marenga investment
Machare
Kuna jamaa mzee ananiambia hii ndio law firm ya kwanza kabisa ya mwafrika kuanzishwa Tanzania.Mawala
Huyo dogo..Mawalla advocate sio ndio alifariki mwaka juzi huko nairobi?Mawalla kijana wake anaendeleza vyema legacy,kwan ni advocate
Halafu kijana mstaarabu sana ukimwona huwez dhania anasimamia mamilion ya shillingi
Unamsemea Nyaga au kijana mwingine??Mawalla kijana wake anaendeleza vyema legacy,kwan ni advocate
Halafu
Kuna mwingine lakini si yule Juma shoga wala Mr Price wa Black Diamond na La Liga ClubUnamsemea Nyaga au kijana mwingine??
Hivi mkuu,kuringe halls zinauhusiano wowote na Mr.Price???Kuna mwingine lakini si yule Juma shoga wala Mr Price wa Black Diamond na La Liga Club
Sway Kenge,Laswai wa kili crane,mfahamiko,mosoi,lucas contraction,ndesamburoKulikua kuna wakina Mfinanga, Mzee TD, Masuki na,wengineo
Huyo ni the beast kwa sasa..Kuna BIG 5s
Baadhi ya member washatajwa as individual
Kimaro wa K vant
Hawa wote wapo mAjengo!Kulikua kuna wakina Mfinanga, Mzee TD, Masuki na,wengineo
Ok.Kuna mwingine lakini si yule Juma shoga wala Mr Price wa Black Diamond na La Liga Club
Yes.Huyo ni the beast kwa sasa..
Lasway wa kibo palace usimsahau
Long time sana.mfahamiko
Naam alwatani. Watoto hawajaweza jenga heshima aliyoacha mzee.mosoi
Watu mna ubaguzi mi hunitaji kisa sijakununulia bia poa kiongozi.lucas Tarimo
Vïcent lasway
mawalla
Mberesero
mremi wa dar exp
Bosco Chuwa
Panjwani.
Hari singh
Rajinder
Mchuku wa Mangi.
Kufanya kazi ni kitu kimoja na kuweza kumiliki pesa ndefu ni kitu kingine.ukitegemea pesa halali wewe kutoboa ni ndoto hii naisema kila siku, ukijifanya sijui fanya kaza sana utachoka tu bure
uko sahihiKufanya kazi ni kitu kimoja na kuweza kumiliki pesa ndefu ni kitu kingine.
Unachotakiwa kuelewa pesa ni nidhamu yako na malengo ya mbali kama vile hutakufa.
Am a woman btwHongera kwako..
laiti ungefanya na kuoa huko,ungeenda mbalii zaidi kwa chapaa na plot nchi nzima
*with due respect;Sir.. sijafanya mockering
Am a woman btw
