Masikini Dr. Slaa, Nyumba yake yapigwa mnada

Masikini Dr. Slaa, Nyumba yake yapigwa mnada

Nikiwa nasikiliza Habari za magazetini asubuhi hii nimesikia Nyumba ya aliyekuwa katibu wangu Nyumba yake imeuzwa kwa mnada baada ya kuchukua Mkopo.

Nikajiuliza, ina manaa walikuwa wakimchukulia ndege special kutoka South Africa kipindi cha kampeni na kumlipia gharama kubwa hotelini na Ulinzi mkubwa, Leo wanashindwa kumlipia deni mpaka Nyumba inauzwa?

Ina maana pesa zote zimeisha au wamemrusha?

Ushauri wangu kwa Dr. Slaa, awaombe msamaha wana-Chadema na nina uhakika wataunganisha nguvu kuokoa jahazi.
View attachment 319457


Dah nahisi yule mwanamaa amechukua yeye lile fungu alilopewa na CCM, hii laana itaendelea kumtafuna sana Dr Slaa
 
Awaombe Wanachadema radhi tutamchangia!

We huwezi mchangia hata mia unavyoonekana kwanza unashangilia, lakini maisha ndivyo yalivyo sema wengine wanauziaga nyumba Bank kimtindo kwa taarifa yako nyumba ya M 200 Bank wamepigwa M300.
 
Naomba nikurekebishe Machemli yupo ACT na sio CHADEMA kwa hiyo kama nyumba zake kinapigwa mnada sema aliyegombea Ubunge jimbo la Ukerewe kupitia ACT ndugu machemli Nyumba zake zapigwa mnada usiihusishe CHADEMA hapo.
Ila Dr Slaa yupo CCM au? Swali la msingi, je huo ukopaji wa mali ulifanyika wakiwa wapi? Kwa kumbukumbu zangu Dr Slaa bado ni member wa CDM na siyo CCM na Machemli yupo huko aliko
 
Ila Dr Slaa yupo CCM au? Swali la msingi, je huo ukopaji wa mali ulifanyika wakiwa wapi? Kwa kumbukumbu zangu Dr Slaa bado ni member wa CDM na siyo CCM na Machemli yupo huko aliko
Alisema amestaafu siasa,CDM ni chama cha siasa.
Sasa huyo Slaa anahusiana vipi na CDM?
 
Kwa hiyo umepatwa na furaha kwa sababu nyumba ya Dk. Slaa inapigwa mnada?

Furaha yote ni kwa sababu hakumsaidia fisadi Lowassa kuingia Ikulu?

Moral and Human principle is more than material gain!

Dhehebu lake linasema, heri wenye moyo safi...

Dk. Slaa aliamua kuwa na moyo safi!
Una maana Dr Slaa atapika,Kula na kulala kwenye moyo wake mzuri?
Josephine ataelewa Hilo?
Na uzee wake unataka ndio sasa apite akinunua matofali na nondo eti anajenga,kwa taarifa yako watu WA kaskazini humaliza biashara hiyo SI zaidi ya miaka thelathini
Atachekwa
 
Ukiwasoma vijana wa Chadema kwenye thread kama hizi ....unahitaji kuwa mwendawazimu kuwa sehemu yao katika mapambano ya kutetea wanyonge wa nchi hii ....wameshaandika kejeli na matusi juu kwa headlines za magazeti tu ....

Mtazamo, kwanini unajitesa hivyo?
 
Hivi kwa nini siasa za Tanzania ni za uhasama na uadui wa chui na nyati?

Mikopo binafsi ya Dr. Slaa na mkewe kwa nini iongelewe pamoja na past political life yake?

Ukitofautiana na wenzio kwenye chama, ukibadilisha au ukidhaniwa umebadilisha mrengo wa kisiasa unalaaniwa, unazodolewa, unatukanwa na kufukuzwa kama mbwa bila kujali mchango wako wowote uliowahi kutoa kwa cham au kwa nchi, why is that???

Historia ya hii nchi kisiasa imejaa uongo uongo unafiki kusalitiana na kujifanya wajuaji tangu enzi za Nyerere hadi leo.

Yanayotokea yanaakisi tu historia.
 
Hayo ndo madhara ya siasa ....

Pia kama sikosei sijawahi kukutana na mtu alomuhasi Mungu na mambo yake yakamnyookea. Jaribu kulifanyia utafiti hilo

Inawezekana kwa kweli kwa imani yangu ndogo najua yale mafuta wanayopakwa wakipewa upadrisho ni kiapo cha maisha na Mungu .....Mungu amsamehe maana sasa naona kama dah

Ila mzee ana pesa ataikomboa tu
 
KuFunga ndoa na kujenga nyumba kipi gharama kubwa ? Labda tuanzie hapoQUOTE="EMMYGUY, post: 15189008, member: 315170"]Ina maana miaka yote hiyo alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga?[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom