Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,435
Teh teh teh, haya bhana!Kama nimesikia vizuri mkopo sio wake ati ni wa MUSHUMBUZi
Teh teh teh, haya bhana!Kama nimesikia vizuri mkopo sio wake ati ni wa MUSHUMBUZi
Sikuwahi kufikiria kwamba akina Crashwise watakuja kumkejeli Dr Slaa na kumuabudu Lowassa kwa jinsi ambavyo huyu mzee alitumia juhudi na maarifa mengi ktk kukiimarisha hiki chama.Mara hii wamesahau yote mazuri ambayo Dr Slaa aliyafanyia CHADEMA, eti wanamwita msaliti,mtu aliyekaa na CHADEMA kwa zaidi ya miaka 30,akikihudumu chama kama katibu mkuu kwa zaidi ya miaka 20 leo asiaminiwe halafu kuaminiwa mtu ambaye maisha yake yote alikuwa na CCM,kwa zaidi ya miaka 40,kajiunga juzi tu na CHADEMA mara hii yeye ndio limegeuka kuwa Mungu ndani ya chama,kila goti la mfuasi,kada na mwanachama wa CHADEMA kwake litapigwa.Kweli fedha ni sabuni ya roho,ukiwa mpigania uadilifu na ukweli kama Dr Slaa utadharaulika,ukiwa mtu mwenye tuhuma nyingi za ufisadi kama yule jamaa yetu maadamu una pesa basi hata magoti utapigiwa.
Hahaaaa!tena ni ubeti wa kwanza tuHiyo ni katika ile kuisoma namba
Miaka yote hiyo bado anasoma?? Wenzake wamepumzika na wajukuu sasahivi yeye bado anahangaika kusoma ili aajiriwe hehehe.. Kweli elimu ni bahariMwenzako yuko Marekani anasoma wewe endelea kula vumbi kwenye majukwaa ya Chadema halafu hata ubunge wa viti maalum hujapewa!
Hivi Tanzania Daima ni gazeti la kufanyia reference?
hahahaaaa! Labda wamtengenezee juice ya viwavijeshi ashushie!!Duh..! BABU huko aliko hata mihogo haipiti kooni, kwa mawazo!
Sikuwahi kufikiria kwamba akina Crashwise watakuja kumkejeli Dr Slaa na kumuabudu Lowassa kwa jinsi ambavyo huyu mzee alitumia juhudi na maarifa mengi ktk kukiimarisha hiki chama.Mara hii wamesahau yote mazuri ambayo Dr Slaa aliyafanyia CHADEMA, eti wanamwita msaliti,mtu aliyekaa na CHADEMA kwa zaidi ya miaka 30,akikihudumu chama kama katibu mkuu kwa zaidi ya miaka 20 leo asiaminiwe halafu kuaminiwa mtu ambaye maisha yake yote alikuwa na CCM,kwa zaidi ya miaka 40,kajiunga juzi tu na CHADEMA mara hii yeye ndio limegeuka kuwa Mungu ndani ya chama,kila goti la mfuasi,kada na mwanachama wa CHADEMA kwake litapigwa.Kweli fedha ni sabuni ya roho,ukiwa mpigania uadilifu na ukweli kama Dr Slaa utadharaulika,ukiwa mtu mwenye tuhuma nyingi za ufisadi kama yule jamaa yetu maadamu una pesa basi hata magoti utapigiwa.
Hivi huko chadema kuna wanachama wa aina gani?
Kwani mkopo kachukua Mbowe au Josephine?Dr Slaa mwenyewe alishawahi kukiri kuwa nyumba anayoishi alisaidiwa kununua na Mbowe,naona Mbowe kaamua kuchukua nyumba yake;Mbowe una roho mbaya sana yaani umeshindwa kufikiria nguvu za Dr Slaa katika kukikuza chama mpaka umemkomoa kwa kumpokonya nyumba yake?
Watu wabaya nyinyi, yaani unatoa shukrani kwa Mungu kabisa kwa mabaya yanayomkuta binadamu mwenzako?Eeeh Mungu asante,haya ndio matunda ya unafiki na usaliti.
Hadi mpambe wake Mzee Mwanakijiji ameshindwa kumsaidia?