Kuwa na chuki binafsi na mtu hata kama hajakukosea chochote ni mwanzo wa mtu kuwa mchawi. Stage zake ni chuki, kijicho, husda na hatimae uchawi.

Kwavile tayari umeamua kumchukia tu bila sababu huwezi muelewa.

Ila ukiwauliza waandishi wa habari ambao vyombo vyao vimefunguliwa baada ya kufungiwa kiuonevu, ukiwauliza Taasisi za kiraia ambazo account zao zimefunguliwa baada ya miezi kadhaa ya kuzuiliwa wao wanamuelewa analolifanya.

Angalizo: Chuki binafsi ni moja ya magonjwa makubwa sana ya nafsi jiepushe na ujikinge na gonjwa hilo
umeandika vema sana mkuu...ili ni jambo la kuzingatia kwakweli kama kweli unaipenda nafsi yako, inakuaje mtu hajakufanyia lolote baya afu unajikuta tu eti unamchukia..huo ni ugonjwa mbaya sana wa nafsi..
 
Mpe muda utamuelewa Rais wetu huyu makini au rudia tena kusikiliza hotuba zake kwa umakini mkubwa utapata kitu kizuri kutoka kwake.
 
Sijui Kama namchukia au nimeadhirika na muziki wa mzee baba Magufuli.

Huyu mama sijui afanye nini ili nimuelewe.


Ila poa tu ngoja tuone.

Niko njiapanda kwa kweli.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app

Sijui Kama namchukia au nimeadhirika na muziki wa mzee baba Magufuli.

Huyu mama sijui afanye nini ili nimuelewe.


Ila poa tu ngoja tuone.

Niko njiapanda kwa kweli.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ok
 
Anatafuta kupendwa na kundi lililokiona Cha moto kipindi Cha Magufuli.

Huyu mbele ya Safari Kuna mabomu yatalipuka tu

Tusubili.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeshakwambia ndugu yangu, usipongalia utakuwa mchawi kama sio mchawi tayari.

Wachawi kawaida yao hupenda sana wenzao waharibikiwe hata kama wao hawatonufaika chochote na kuharibikiwa huko.

Yaani unakaa kabisa kumuombea mtu ambae Mungu amemchagua aharibikiwe?? Mbona unafeli sana ndugu???

Hivi unajua Mheshimiwa rais mama yetu Samia Suluhu Hassan hata kama ataharibikiwa hawezi kuwa sawa na wewe??? Yaani namaanisha hata uwe mchawi kiasi gani hawezi tena kuwa na dhiki duniani hapa??? Unajua hilo??
 
Nilitegemea atasema atajenga Daraja from Dar to Unguja au Tanga to Unguja... ila kiufupi yale maandalizi na ugeni wote ule ndio kazungumza yale tu?
 
Sijasikia hotuba yake kuhusu hilo, lkn mkuu, Kwa maana hiyo, wazenji laki nane meli 3 na Sisi wa bara milioni 59 meli 3? Mbona utakuwa uonevu sasa.
Sasa hebu tafuta population ya wasukuma hapa Tanzania. Ukishaipata utueleze ni nini ilikuwa base ya malalamiko kwamba Magufuli alikuwa mkabila???

Just for your information, hatuangalii idadi ya watu kwenye kufanya maamuzi ya baadhi ya mambo
 
Sijui Kama namchukia au nimeadhirika na muziki wa mzee baba Magufuli.

Huyu mama sijui afanye nini ili nimuelewe.


Ila poa tu ngoja tuone.

Niko njiapanda kwa kweli.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu. Kwangu mimi it was very simple. Alipoanza tu kutengua watu sahihi kwa kutumia taarifa za wanaharakati wa twitter nikajua "we are done", wenye nchi yao washarudi.

Ushauri kwako: Endelea kuiombea nchi ili Mungu aiepushe na haya majangili.

Leo umesikia kuwa nchi inahitaji sana industrial parks bila kujalisha zinajengwa wapi. Iwe "Bagamoyo" au kwingineko! Masalia ya Magu tunajua maana yake nini kwa ule mradi wa Bwagamoyo. They are back bro.

Acha tufarijiane masalia ya Magu. Ila tuko wengi. Si uliwaona hata wale viongozi wa dini siku ile. Ila usiwaze sana maana "tuliouzwa" tuko wengi. Usibabaishwe na hawa "wasomi/wajuaji" wa twitter na hapa Jamiiforums. Wananchi wengi wa huku uraiani wanahisi wamepigwa. Hauko peke yako.


Mods nao wameamua kuunganisha huu uzi. Naona wameona nyuzi za wahanga wa awamu hii "ya 6" zimekuwa nyingi wakaamua kukafuta "ka-thread" ketu. Si unajua tena mambo ya demokrasia yasivyo na uhalisia.
 
Pole mkuu. Kwangu mimi it was very simple. Alipoanza tu kutengua watu sahihi kwa kutumia taarifa za wanaharakati wa twitter nikajua "we are done", wenye nchi yao washarudi.

Ushauri kwako: Endelea kuiombea nchi ili Mungu aiepushe na haya majangili.

Leo umesikia kuwa nchi inahitaji sana industrial parks bila kujalisha zinajengwa wapi. Iwe "Bagamoyo" au kwingineko! Masalia ya Magu tunajua maana yake nini kwa ule mradi wa Bwagamoyo. They are back bro.

Acha tufarijiane masalia ya Magu. Ila tuko wengi. Si uliwaona hata wale viongozi wa dini siku ile. Ila usiwaze sana maana "tuliouzwa" tuko wengi. Usibabaishwe na hawa "wasomi/wajuaji" wa twitter na hapa Jamiiforums. Wananchi wengi wa huku uraiani wanahisi wamepigwa. Hauko peke yako.


Mods nao wameamua kuunganisha huu uzi. Naona wameona nyuzi za wahanga wa awamu hii "ya 6" zimekuwa nyingi wakaamua kukafuta "ka-thread" ketu. Si unajua tena mambo ya demokrasia yasivyo na uhalisia.
Na bado!

Tunasema hivi "Mama aachwe afanye kazi na neema zatapatikana kwa kila mmoja wetu"

Nyinyi Masalia ya Magu kaeni kwa kutulia.
 
Ni Jambo jema kwa Rais kuwaongezea mishahara watumishi wa umma, kwani watumishi wamekaa muda mrefu bila nyongeza ya mishahara.

Zipo njia nyingi za kupandisha mshahara yaani take home ya mfanyakazi. Unaweza kupandisha kwa kuongeza kiwango chake cha mshahara au kwa kupunguza makato yaani PAYE.

Mimi kwa upande wangu napendekeza kuwepo na balance Kati ya kupandisha mishahara na kupunguza makato yaani Rais aongeze mishahara kwa kiwango Fulani harafu pia Apunguze Kodi au makato (PAYE) kwani hii itakuwa na faida kwa wafanyakazi wote wa umma na wale wa sekta binafsi.

Kama siyo hivyo, basi anatakiwa kufanya yote kwa pamoja, kuongeza Mishahara na kupunguza Kodi (PAYE)
 
Back
Top Bottom