Sijui kwa nini anashindwa kufanya hivi na wakati inawezekanaNdio maana haujawa madam President sababu ungeonekana unaenda tofauti na mfumo wa matajiri..
Mkuu, huko juu kuna mfumo uliowekwa na bepari kwaajili ta kumgandamiza masikini.Sijui kwa nini anashindwa kufanya hivi na wakati inawezekana
😁😁😁 Tafadhari sana kijanaWakuu salamaa?
Raisi wa nchi ni mtu mkubwa sana na ana uwezo wa kufanya jambo lolote lile bila hata kushindwa