zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,209
- 21,704
awamu zote kuhamishia ikulu dodoma walikuwa wanasubiri niniSukuma Gang at their best!! Mtambana sana ila Mh Rais Samia mnaye mpaka 2030!! Na hamna cha kumfanya zaidi ya kubwabwaja nyuma ya Keyboard!!
Hiyo miradi Magifuli ndo aliasisi ilikuwa kwenye ilani ya chama!! Kwamba yeye ndo mwanzilishi wa Ikulu ya Dodoma umesahau kwamba walioidhinisha ikulu iwe dodoma ni Watanzania wote na awamu zote wamechangia kwa nyakati tofauti kusaidia ilipofikia!!
Angepewa jamaa yenu nafasi ya kusuggest ikulu iende wapi si angeenda kuojenga chato!!
Ashukuriwe Mwl Nyerere kwa uzalendo wako ulitukuka kwa kuona Watanzania wote ni sawa!
kwani jiwe angeamua iende chato ingeshindikana unahisi