Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,261
- 2,058
Mimi binafsi shaw namkubali. Namuona mtu wa kazi sana. Uwa nakuwa na imani awapo uwanjani. Amrabat kwakweli HAPANAMim ndio kabsaaaaa......amad anamuwekaga nje why?
Activeness ya watoto wa academy huwez ukafananisha na Rushford. Anazunguka tu...ona ganacho anavyozunguka..tulimiss sana hustle za Rooney Ganacho anafuata mtu.
Kiukweli hata Ruke Shaw ni walewale bora hata Amrabati