kwenye extra time tuliwapeleka mputa sana ila Gernacho mpira anajua sana bwana mdogo ata Goli alilfunga Diallo Rashford pale angekosa dogo alitulia sanaMan Utd have also STILL NOT LOST a home FA Cup game against Liverpool for over 100 years.
Hii itakaa mileleMemorable one.
Naomba na mason Greenwood aludi kuwe na competition pale mbelekwenye extra time tuliwapeleka mputa sana ila Gernacho mpira anajua sana bwana mdogo ata Goli alilfunga Diallo Rashford pale angekosa dogo alitulia sana
Huyu Anthony acheze beki tuAmad tracking back played big part in 3rd goal and interception on Elliott started the 4th goal. He and Garnacho stood out for me today, they were giving everything. Antony also impressive at LB and RW, got to give credit where it is due.
Yaani kocha aliwaza nini akawarudisha winga...kiungo mshambuliaji nyuma??Alicheza 4
Antony 3
Dalot 2 na mkoba ni allesandro maguire de maldin 5
Ukihitaji goli inabid uwe na idadi kubwa ya washambuliaji wanakupa advantage kubwa ya kushambuliaYaani kocha aliwaza nini akawarudisha winga...kiungo mshambuliaji nyuma??
Mjuzi yyt tafadhali
Dalot pamoja na kua hayupo vizuri sana kwenye defence ila jamaa ni mpambanaji sana na ni mzuri sana kwenye kupeleka mashambulizi, ukimfatilia vizuri huyu jamaa hapo Utd alipaswa kucheza nafasi ya RW kuliko RB.Kwa mpira anaotaka kuufundisha ETH
Diogo Dalot ni mmoja ya wachezaj wanaofaa nawaza kama solskjaer angefanikiwa kumuuza basi timu ingekuwa imepoteza bonge moja la mchezaj
Diogo Dalot
Basi hii ni akili kubwa mno. Huwa anakuaga wapi huyuUkihitaji goli inabid uwe na idadi kubwa ya washambuliaji wanakupa advantage kubwa ya kushambulia
Kwa mpira anaotaka kuufundisha ETH
Diogo Dalot ni mmoja ya wachezaj wanaofaa nawaza kama solskjaer angefanikiwa kumuuza basi timu ingekuwa imepoteza bonge moja la mchezaj
Diogo Dalot
Endo alimvuruga vibaya sana rodri pale kati pep hakuamini kama mpira uliisha kwa sareNiliangalia ukali wa ile liverpool last week iliyo-draw na City nikajua leo tunakula sita. Kumbe mpira unadunda aisee.
Dogo kalia kwa hisia sana
Daah mkuu me kiukwel simuelewi japo tunashinda tuuBasi hii ni akili kubwa mno. Huwa anakuaga wapi huyu
Ametrend sana🙌 passion yake sio powDogo kalia kwa hisia sana
Huyu ni pure mancunian
Mim ndio kabsaaaaa......amad anamuwekaga nje why?Daah mkuu me kiukwel simuelewi japo tunashinda tuu
Kiukwel tutaona msimu ujao hui tuombe tu hii FA TuchukueMim ndio kabsaaaaa......amad anamuwekaga nje why?
Activeness ya watoto wa academy huwez ukafananisha na Rushford. Anazunguka tu...ona ganacho anavyozunguka..tulimiss sana hustle za Rooney Ganacho anafuata mtu.
Kiukweli hata Ruke Shaw ni walewale bora hata Amrabati