Leo Guardiola ameamua kumpeleka Sterling kulia. Maana kwa Wan Bissaka huwa anateseka sana
Pogba ndo anawatuliza pale kati maana fred anapotea kinoma yanDear pogba kama nimechoka man u sepaaaa
Nimekuelewa.lugha zote (English na Kiswahili) zipo kwny options unaweza kuchagua..unataka kifaransa!?
Nilichosema mie na wewe ni kitu kimoja. Nimesema ameenda kulia kwa upande wa Man City na si kwa UnitedWRONG!!
Kama Sterling angekuwa anamuweza bissaka angecheza upande uleyle wa siku zote
Nimekuelewa.
Sikua nafaham maana sijawah tumia hiko kingamuzi.
Tunashinda 2 : 1