SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,359
Kwa mipango ipi?Tunashinda 2 : 1
Kwa mipango ipi?Tunashinda 2 : 1
Sifurahishwi na Martial....badala akabe yeye anaoneshea vidole tu
Sub zinafanyika soon.Kwa mipango ipi?
Najua mkiongozwa cha pili mtasema tena mtashinda 3 : 2Tunashinda 2 : 1
Ni leo tu au?Huyu fred kwenye kupiga pasi ni sifuri.
Amekusikia.Kocha afanye mabadiliko hasa kwny midfield na Martial atoke
Huyu ni galashaSifurahishwi na Martial....badala akabe yeye anaoneshea vidole tu
Martial hajisomiHuyu ni galasha