SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Kwa mipango ipi?Tunashinda 2 : 1
Kwa mipango ipi?Tunashinda 2 : 1
Sifurahishwi na Martial....badala akabe yeye anaoneshea vidole tu
Sub zinafanyika soon.Kwa mipango ipi?
Najua mkiongozwa cha pili mtasema tena mtashinda 3 : 2Tunashinda 2 : 1
Ni leo tu au?Huyu fred kwenye kupiga pasi ni sifuri.
Amekusikia.Kocha afanye mabadiliko hasa kwny midfield na Martial atoke










ole ni kocha ambaye hana uwezo wa kubeba kombe lolote dunianiHuyu ni galashaSifurahishwi na Martial....badala akabe yeye anaoneshea vidole tu
Martial hajisomiHuyu ni galasha