Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah nimekubali matokeo tumesitahili mbele butu kabisa nimemkumbuka Cavan
 
Dah nimekubali matokeo tumesitahili mbele butu kabisa nimemkumbuka Cavan
Martial sijui kimemkuta Nini... Msimu ulioisha alimaliza vizuri ila huu dah!
Kukaba hakabi... Hamna dribble, anapoteza mipira kawa laini kama urojo
 
Martial sijui kimemkuta Nini... Msimu ulioisha alimaliza vizuri ila huu dah!
Kukaba hakabi... Hamna dribble, anapoteza mipira kawa laini kama urojo
aaah yan nimeshangaa kocha anamwacha akae na ujinga wake mule ndani akati alikua wa kutoka tangu dakika ya 60 ivi,,
Ametulostisha sana msimu huu uyu boya
 
Martial sijui kimemkuta Nini... Msimu ulioisha alimaliza vizuri ila huu dah!
Kukaba hakabi... Hamna dribble, anapoteza mipira kawa laini kama urojo
Mkuu umeongea vyema sana.."hamna dribble" Shaw akiingia eneo la adui ana-dribble nzuri kuliko huyo mjinga. Shaw angecheza winger nom11 ni bora zaidi ya huyo.
 
Naulizwa swali hili ni kombe la mbuzi au lah?kama ni la mbuzi tuambieni Ole Mmasai kombe gani amebeba tangu ajiunge na Manchester United ? ole ni kocha ambaye hana uwezo wa kubeba kombe lolote duniani

Manchester united wanaweza kubeba makombe chini ya ole kama atatafuta washambuliaji wa 3 mpira anaofundisha si mbaya shida ni umaliziaji bruno ana goli nyingi kuliko washambuliaji wake

Kwa mfano mtu kama martial anavaa jez na 9 anacheza kama kipa bota awe anadaka tu leo mara 3 anaomba penat wakat uwezo wa kufunga alikuwa nao
 
Timu nzima ilikuwa hovyo..

Fernandes tunamuimba sana ila ana papara sana..eneo analocheza inabidi awe na precision..Sehemu ya kutoa pasi nyepesi ya goli yeye atafanya mambo mengi..na sio gemu ya leo tu,ni mechi nyingi nimeobserve hili..


Martial na Rashford wakikutana na beki ngumu kidogo tu wanakuwa milenda..Cavani arudi tu

There is no dought kuwa we are poorly trained team kwa United standard..hivi vigoli tunavyofunga vinafana karibia kila wiki..

4 semis bottled..
 
Duh!City sasa hv OT ni kama uwanja wao wa nyumbani vile wanajipigia tu..Henderson ni kipa mzuri lkn naona carrier yake inaenda kufia OT(so sad)..watu ambao huwa wanasema Maguire ni mzigo kwa lendolof huwa natamani sana nikione hicho wanachokiona kwa lendolof..Leo tangu mpira unaanza ulikuwa unaona pep yuko desperate kupata matokeo natamani sana Solskjaer ajifunze hicho kutoka kwa jamaa sio mpaka dk za mwisho ndo anazinduka..
 
Back
Top Bottom