Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,692
Unawatisha Chelsea , mkiwapiga tena itakuwa fedheha kubwa sanaUkija room (Wembley) uje hujavaa braa ili kuokoa muda
4 times in one season
Unawatisha Chelsea , mkiwapiga tena itakuwa fedheha kubwa sanaUkija room (Wembley) uje hujavaa braa ili kuokoa muda
Hahaaa kwamba huyu ni Mariam BirianiMariam Biriani una kibri sana, manchester utd msimu huu kakufunga mechi 3 ila bado hutaki kutuheshimu
Ebu tueleze, unataka tukufanyaje ndio utuheshimu?
Umemuona Mariam BirianNdio atakayewaua july 18
Bruno + GreenWood = Dangerous
Hala hala Chelskum hoi
Msimu ujao apewe jezi namba 7Bruno ni moja ya sajili bora sana baada ya ile CR7.
Unawatisha Chelsea , mkiwapiga tena itakuwa fedheha kubwa sana
4 times in one season
Hahahahhh mariam biriani jana kawahudumia westham biriani lakeHahaaa kwamba huyu ni Mariam Biriani
Nimecheka sana ,
Asubirie no 8 kutoka kwa MataMsimu ujao apewe jezi namba 7
MutihaniNinyi jana mumefurahi sana kwa sisi kufungwa..
Ila munatakiwa mujue kuwa top four itakuwa mutihani kwenu.
CFC
Next two games mtajichagua kati yako au leicester mmoja aachie nafasi ya wazee wakubwa.Ninyi jana mumefurahi sana kwa sisi kufungwa..
Ila munatakiwa mujue kuwa top four itakuwa mutihani kwenu.
CFC
Acha mbwe mbwe .."Wee ulisikia wapi?"Next two games mtajichagua kati yako au leicester mmoja aachie nafasi ya wazee wakubwa.
Oh! Kumbe. Inabidi tupunguze sauti.hii timu pia inashabikiwa n CEO wa JamiiForums
Ninyi jana mumefurahi sana kwa sisi kufungwa..
Ila munatakiwa mujue kuwa top four itakuwa mutihani kwenu.
CFC
Acha mbwe mbwe .."Wee ulisikia wapi?"
Tatizo ninyi mukishinda mechi tatu vichwa vinavimba kweli kweli ..ninyi man u fans mnakuwaga na akili mbofu mbofu ...
Kuhusu top four itabid usahau mapema ..ondoa ayo mawazo mze..
Unadhani Leicester ataki kucheza UEFA? Ee bwana wee usahau kabisa UEFA kuna raa yake mkuu..
Vijana wanakosa kitu inaitwa passion
Chelsea wamemkanaVijana wanakosa kitu inaitwa passion
Ninyi jana mumefurahi sana kwa sisi kufungwa..
Ila munatakiwa mujue kuwa top four itakuwa mutihani kwenu.
CFC
Acha aende tu he is too small for the premier league