Hahahahaha !! Nikumbushe wema wako nisije laumuuu,nikumbushe fadhili zako wakati Wa magumu,niimbe wimbo wa sifa katikati ya majonzii.

#hatawafiwahujifarijiwakatiwamsiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya
IMG-20190310-WA0047.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu mi sijaumia kupoteza hii mechi kwanza tulikuwa na mech kubwa nyingi mfululizo na zote tulichomoka arsenal ilikuwa lazima wajitetee tumebamiza sana pale

Kwangu mimi poa tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
EIDHA TUFUNGWE ,TUTOKE SARE AU TUSHINDE ,TUTABAKI KUWA MAN UNITED .
GLORY
GLORY MANCHESTER UNITED
Kutotumia nafasi nyingi za wazi kumetucost. Lukaku leo atasemwa sanaaa. Hii hutokea mara nying kwenye mcezo wa mpira. Ukijiskia kumlaumu sana Lukaku , kumbuka kuna game tatu za hivi karibuni yeye ndo alikuwa mwokozi wetu.
Hahahahahh wewe unaingia uwanjani unamtegemea Lukaku? Are you mad? Nasisitiza UEFA nakutaka nikufundishe jinsi mpira unachezwa na jinsi magoli yanafungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona vijana wa Arsenane wamejaa sana humu

Mungu ni wetu sote hivyo kudhani kila siku tutawafunga ni kujidanganya. Pia kudhani kwamba OGS asingefungwa hata mechi moja ni kutojua soka.

By the way, United ataendelea kuwa United.

Tumefungwa. Imeuma. Maisha yanaendelea. Imagine wewe kwenye mechi 18 umefungwa mechi 2, kuna wenzako wametunguliwa mechi za kutosha tu.

In fact, siku ya jumatano asubuhi ningeambiwa nichague kuingia robo fainali ya UCL na kufungwa na Arsenane ningechagua hili la pili.

Kiufupi hatukucheza vibaya, japo makosa madogo madogo yametufanya tupoteze mechi.

Hatukutumia nafasi tulizopata kwa ufasaha lakini pia tumefungwa goli ambazo kwa mtazamo wangu zingeweza kuzuilika. HAMNA HAJA YA KUNYOOSHEANA VIDOLE, HUWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE.

Arsenane hongera yao kwa kupunguza uteja, leo wamesogeza, walikuwa wametufunga mara 82, leo wamefikisha mara ya 83. United amebaki kuwa amewafunga karne kasoro 1 yani mara 99

United yupo kwenye mbio za top 4, yupo robo fainali ya FA, yupo robo fainali ya UCL, kwanini wewe shabiki wa United ukose usingizi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom