21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Parapanda inalia hapa, msiba msiba msiba huu
Hahahahah Leo nisiku yako ya kushine mkuu , may you keep the thread alive please!!
Huyo Lukaku unae muunder rate leo, kwetu sie ni lulu kwa kiasi chache.
Sure! Degea na yeye apumzike kidogo naona anatoka kwenye form.Kiungo tu cha leo kilikuwa hovyo halafu hata rashford hakustahili kuwep uwanjani huyu dogo kaua timu leo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Aisee DALOT mbovu sana, nadhani wale walinitukana leo wameona. Yuko very slow. Winga ya kulia ni kama haikuwepo. Hakuna kijana wa academy huko namba 7 aje akamate hapa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
PSG game effectPogba-matic-fred very poor one.... Pia nimeona kauvivu flan leo sjui kametoka wap... Pia rash selfishness na kutojituma sana as back days...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure! Degea na yeye apumzike kidogo naona anatoka kwenye form.
Fred kacheza mpira leo, nimependa pia movement za Greenwood! Dogo anaonekana mzuri!!
De gea alikuwa anamlaum nan gol la kwanza? Sijaelewa kabisaSure! Degea na yeye apumzike kidogo naona anatoka kwenye form.
Fred kacheza mpira leo, nimependa pia movement za Greenwood! Dogo anaonekana mzuri!!
Hahahahah Leo nisiku yako ya kushine mkuu , may you keep the thread alive please!!
Huyo Lukaku unae muunder rate leo, kwetu sie ni lulu kwa kiasi chache.
Aisee DALOT mbovu sana, nadhani wale walinitukana leo wameona. Yuko very slow. Winga ya kulia ni kama haikuwepo. Hakuna kijana wa academy huko namba 7 aje akamate hapa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app




umesahau kama tulibadilishana majukwaa kabla mpira haujaanzaMan united haijashuka kiasi hiko kwenda kuchukua makocha wa mchangani huko. This is united bwana.. kama pesa ipo wachukue kocha wa maana.. ww unataka kocha hata kombe la FAhajawahi chukua? Be serious manNashauri tufukuze mwalimu tumchukue David Wagner aliyeondoka huddlesfield
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nazani alikuwa analaumu wind