




Kweli kenge hasikii hadi damu imemtokaKwenye pambano linalozungumzia ubora wa ERIK TEN HAG, nafikiri hamis77 ameshinda.
Rasmi nakutangazia ushindi bwana hamis wa twitter na JF.
















Ten hag huna pa kujificha mwanetuView attachment 2797265
Usiogope, kwa sasa hakuna kocha anaweza tibu hawa KondoooNawaombea mshinde Jumatano
Why? Mkifungwa ETH atakuwa karibuni kufukuzwa na binafsi sipend afukuzwe
Man u ndio timu pekee top 6 inacheza mpira wa peke yake
Akifukuzwa kocha ajaye atafanya vzr , wachezaji mnawaona wabaya but wengi wazuri ila hawana proper structure
Prince Boateng anasema akiwa pale sassuolo na miaka 32 alikuwa Bora sana chini ya Di zerbi,anasema walikuwa wanatengenezewa structure mchezaji unakuwa na option had 6 zakupiga pass ukifanyiwa press
Angalia pale Brighton ,kina Dunk ,Gross wachezaji wa Cent 2 lakini wanapiga pass ,wale hata uwafunge kitambaa usoni ,hawapotezi mpira na wamekuwa wakifanya hivo hata kwa huyo Pep Guardiola
Tatizo la man u Ni poor structure ya kocha sio wachezaji
Ten Hag: “The penalty changed the game. I don't have a comment on it...”.Jina: RashfordView attachment 2797341
Mlale salama
Apostle Kuna muujiza hapaView attachment 2797341
Mlale salama





Yaani mpaka asemeeTen Hag: “The penalty changed the game. I don't have a comment on it...”.
“We have to forget this game, recover for Wednesday”.

Believe, tatizo sio wachezaji utakuja kunielewa iwapo atakuja kocha mpyaUsiogope, kwa sasa hakuna kocha anaweza tibu hawa Kondooo
Believe, tatizo sio wachezaji utakuja kunielewa iwapo atakuja kocha mpya
Brighton, Astonvilla au Newcastle Wana wachezaji gan wakuwazidi wa manjesta
Unajua wachezaji wa manjesta karibu wote wanatumikia National team zao vzr tu ,
Newcastle, Astonvilla, Brighton wachezaji wao wengi hawapo NT ,
Hii elimu unayowapa nchi za wenzetu ilibidi uwe unalipwaBelieve, tatizo sio wachezaji utakuja kunielewa iwapo atakuja kocha mpya
Brighton, Astonvilla au Newcastle Wana wachezaji gan wakuwazidi wa manjesta
Unajua wachezaji wa manjesta karibu wote wanatumikia National team zao vzr tu ,
Newcastle, Astonvilla, Brighton wachezaji wao wengi hawapo NT ,
Wachezaj wenyewe hawana Ari.Hii elimu unayowapa nchi za wenzetu ilibidi uwe unalipwa
Arsenal na city waweke pembeni
Utakuja kugundua wachezaji wengi wa nyumbu wanacheza timu zingine tena starting 11 ile
Shida ni Nini? Kocha au body ya nyumbu?
Unaweza ukafukuza kocha kumbe shida inaanzia juu