Punguzaga shobo kwenye page ya Arsenal wakati timu yako yenyewe ya mafungu shenziHuyu mjinga mkorea sijui atakuwa wapi saa hii.
Huwa nawatazama wachezaji wetu, ni wazito sana, ni wazito kuanzia kichwani. Hawana uwezo wa kufanya maamuzi haraka, mchezaji anaweza kushangaa na mpira mpaka ukachukuliwa au anakaba kwa macho mpaka goli linafungwa.
Huko upande wa mabeki ndio tatizo kubwa, tuna beki nzito kimwili na kiakili. Bora Licha na Varane walikuwa kidogo wanawezana, Varane alichangamshwa na Licha.
Kaka yako Vladimir anaendeleaje?PAkti ya condom tayari mamaeee nyumbu
Wazee hapa hamna timu tuacheni masihara, mpira Kila mtu anauona, Kuna timu unaziona zinafungwa lakini unaona kabisa wana Ari ya kucheza na kutafuta goli, Yani UTD imekuwa timu mbovu namna hii?, timu hata Ipswich town wanaweza kutamani kucheza nazo, Kwa mpira huu natamni sana tusishiriki hata Europa msimu ujao, yaani next season tubaki na ligi kuu tu basi!, ni aibu kutazama timu kama UTD Kwa namna hii ya uchezaji, kama timu inacheza Sasa inacheza Nini?, at least hata ionekane timu inacheza vitu gani but hili halionekani kabisa, hii ni dhambi Kwa timu kama hii kuendelea kuwepo kwenye mashindano makubwa.
Mashabiki wa Man u uwanjani wamepoa wameingiza mkia mtakoni kama mambwa koko wamekutana na mambwa ya polisi.



daaaahhh yaani shabiki la Chelsiiii sijui linapata wapi nguvu ya kuwacheka Man Utd au ndio tayari ushavuta sigara ya kirastafari?