Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kipindi chelsea wanamtangaza mauricio pochettino kuwa kocha wao ajaye, nakumbuka mshabiki mmoja wa chelsea pale twitter aliandika:

"chelsea na manchester united wote wataanza msimu mpya wakiwa sawa kwa sababu kwa msimu huu sijaona msingi unaoeleweka wa kiuchezaji aliyoujenga ERIK TEN HAG".

sikutaka kumuelewa nyakati zile
 
Akijiangusha halafu akala kadi ya njano kwa kumdanganya refa pia mtamsema.
Siku mtakayostuka na kujua tatizo la timu yenu kubwa la kwanza ni kocha wenu Baba Ubaya na mkamtimua ndo siku mtakayoanza kucheza kama Man U tena sio sasahv mnacheza kama Manunu....Solskjaer alikuwa na timu ya kawaida sana ila alifanya mambo mazuri na kipara Guardiola alikuwa hamsumbui kabisa.....huwezi kunambia hawa wachezaji hawawezi ku perform wakifundishwa na mwalimu mzuri.....tafuteni kocha wa kueleweka hyu wa sasa ni tapeli
 
Nnachoweza kusema ETH amuombe Ole wafanye kazi pamoja na kazi ya Ole iwe kutambua wachezaji na recruitment basi,ETH afundishe.
Onana katuokoa sana. Beki zetu butu,kiungo butu,forward butu🙌🙌
 
1698601606102.png
 
Erik Ten Hag rudia tena ule mkanda wa mechi yetu ya kirafiki dhidi ya crystal palace, baadae fundisha mpira ule.
bado hujachelewa
 
Back
Top Bottom