Mashabiki wa Man u uwanjani wamepoa wameingiza mkia mtakoni kama mambwa koko wamekutana na mambwa ya polisi.



daaaahhh yaani shabiki la Chelsiiii sijui linapata wapi nguvu ya kuwacheka Man Utd au ndio tayari ushavuta sigara ya kirastafari?
Siku mtakayostuka na kujua tatizo la timu yenu kubwa la kwanza ni kocha wenu Baba Ubaya na mkamtimua ndo siku mtakayoanza kucheza kama Man U tena sio sasahv mnacheza kama Manunu....Solskjaer alikuwa na timu ya kawaida sana ila alifanya mambo mazuri na kipara Guardiola alikuwa hamsumbui kabisa.....huwezi kunambia hawa wachezaji hawawezi ku perform wakifundishwa na mwalimu mzuri.....tafuteni kocha wa kueleweka hyu wa sasa ni tapeliAkijiangusha halafu akala kadi ya njano kwa kumdanganya refa pia mtamsema.
Ata Mimi ningekua Sancho, ningefanya Kama anachofanya sanchoHii team ndo ETH anataka Sancho aombe msamaha ndo acheze? Atasubiri sanaaa![]()
mimi ndiye raisi wa hii thread, tuzo, karipio na heshima zote natoa mimi.Bado hamjasema![]()
Kwa Antony na Mount tuzo yake mmnampa lini? Au tuvute vute muda kidogomimi ndiye raisi wa hii thread, tuzo, karipio na heshima zote natoa mimi.
kijana apokee tuzo yake, au kama hatokuja kuchukua tuzo atume mwakilishi
yan mpaka waseme