Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nnachoweza kusema ETH amuombe Ole wafanye kazi pamoja na kazi ya Ole iwe kutambua wachezaji na recruitment basi,ETH afundishe.
Onana katuokoa sana. Beki zetu butu,kiungo butu,forward butu🙌🙌
 
1698601606102.png
 
Erik Ten Hag rudia tena ule mkanda wa mechi yetu ya kirafiki dhidi ya crystal palace, baadae fundisha mpira ule.
bado hujachelewa
 
Back
Top Bottom