Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inawezekana kweli una hoja, Ila unajua fitness ya mount au Antony?
Unataarifa ya Mazoezini kuhusu hao wawili?

Acha kuangalia price tag ya wachezaji, Ericksen ni mzuri kuliko mount ukiacha kwamba anakata Moto mapema. Ambapo hapo ataingia huyo mount

hamis77 awaambie Mara ngapi kwamba Antony mmepigwa?
Achana na mambo ya "hawakufanya mazoezi vizuri" ..mchezaji mzuri ni mzuri tu, hata kama mazoezi hakufanya vizuri. Yaani kipara amuweke Haaland nje kwa kuwa tu hakufanya mazoezi vizuri?
 
Taarifa iwafikie nyumbu

Rashford pamoja na kwamba huu ni msimu wake wa 10 hajawahi kufunga hat trick, ila Striker la mabao limeweka hat trick yake jana
20231029_181832.jpg
 
Lindelof No. 3 anaiweza sana. Malacia na Reguilon bado sana.
 
Hii penati kwa kweli duuuh! ni kweli kashikwa ila jinsi alivyoanguka duu! Pamoja na kuwa timu yetu sio nzuri akichezesha Tylaor au Michael Oliver gemu yetu kutoboa huwa ni ngumu sana sijui ni maono yangu au wote tunaona hivyo.
 
Hii penati kwa kweli duuuh! ni kweli kashikwa ila jinsi alivyoanguka duu! Pamoja na kuwa timu yetu sio nzuri akichezesha Tylaor au Michael Oliver gemu yetu kutoboa huwa ni ngumu sana sijui ni maono yangu au wote tunaona hivyo.
Tierny huyo anachezesha leo , Penalty ya kijinga Sana

Mancity anabebwa Sana

Vs Arsenal waligoma kutoa red kwa kova
 
Tierny huyo anachezesha leo , Penalty ya kijinga Sana

Mancity anabebwa Sana

Vs Arsenal waligoma kutoa red kwa kova
Asante kwa correction nilichanganya jina huyu refa huwa wa hovyo sana maamuzi yake huwa ni kama yakubahatisha bahatisha hivi ni kama hajiamini anapuliza philimbi kutwa hadi anapoteza ladha ya mchezo.
 
FA kama wanataka kumpa Pep NATIONA Team waongee nae tu sio kumbeba kifala

Mancity amekuwa mnufaika wa maamuzi ya utata

Everton kavunja FFP wanataka kumkata point

Mancity alivunja FFP na ana kesi 115 wanamuacha
 
Back
Top Bottom