Nitajie sub 3 za maana ambazo zilibidi zianzeHiki kikosi cha leo naweza kumtukana kocha.![]()
Leo hatutoki tuwe wakweliDaah tutatoka kweli leo??
Bruno as RW?kwa nini kipara amemsajili mason mount?
Mount & Antony.Nitajie sub 3 za maana ambazo zilibidi zianze
Inawezekana kweli una hoja, Ila unajua fitness ya mount au Antony?Mount & Antony.
Hao wachezaji wawili tumetumia £150m kuanzia bench maana yake kwa ufupi ni kuwa EtH hajui anachokifanya United.
Antony Kwa game ya Leo anahitajika kwasababu ya pace yake, awakimbize kama alivyowakimbiza Netohamis77 awaambie Mara ngapi kwamba Antony mmepigwa?
Sijui kocha huyu ni mjinga kiasi gani.Antony Kwa game ya Leo anahitajika kwasababu ya pace yake, awakimbize kama alivyowakimbiza Neto
Achana na mambo ya "hawakufanya mazoezi vizuri" ..mchezaji mzuri ni mzuri tu, hata kama mazoezi hakufanya vizuri. Yaani kipara amuweke Haaland nje kwa kuwa tu hakufanya mazoezi vizuri?Inawezekana kweli una hoja, Ila unajua fitness ya mount au Antony?
Unataarifa ya Mazoezini kuhusu hao wawili?
Acha kuangalia price tag ya wachezaji, Ericksen ni mzuri kuliko mount ukiacha kwamba anakata Moto mapema. Ambapo hapo ataingia huyo mount
hamis77 awaambie Mara ngapi kwamba Antony mmepigwa?

Taarifa iwafikie nyumbu
Rashford pamoja na kwamba huu ni msimu wake wa 10 hajawahi kufunga hat trick, ila Striker la mabao limeweka hat trick yake janaKwa hii FOMESHENI city tunamnywa goli tano.View attachment 2797050



Mkohoti hapa naona umeongea vice-verser, ila nimefarijika kukuona walau umekuja kutufariji, maana Man Utd na Chelsea sisi ni dugu moja. 

