mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
kuhusu Antony hakuna aliyemkatalia humu ndani.

kuhusu Antony hakuna aliyemkatalia humu ndani.






















😂😂😂😂Kwa kile alichofanya Anthony kwa Doku nitakua ni mtu wa mwisho kuamini kua wale wanawake waliomfungulia kesi ya kuwapiga walikua wanamsingizia. View attachment 2797221
Hivyo ndio wanakaba

Fukuzeni kocha kabla hamjakutana na Liverpool...wale ndo hawana huruma hata kidogoHili timu litatuua na presha
Huyu jmaaa
Team yenu ni takataka kuliko hata maelezo.. Yan ni ovyo kbs.. Team haijulikana wanacheza hata kwa njia ipi had leo.. Yan nyie mateso mnayopitia sio ya kuisha leo wala kesho.
Narudia tena wenzenu liver mlikua mnawacheka kukaa miaka 30 bila kombe tena mkawa mnatamba mnasema nyie haitakaa itokee nawaambia kuja mbebe iyo EPL lbd muibe kwa city ambaye yuko jiran yenu lkn sio kubeba.









