Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ili kuweza kushindana unahitajika uwekezaji mkubwa, nafasi moja inapaswa kuwa na wachezaji wazuri zaidi ya wawili. Leo hii DM anategemewa Casemiro pekee na ndio huyo ameshakuwa babu, akiwa nje ni msala.

Timu yetu baado saana!!
 
Hii team hata kipa atoke mbinguni, kwa defencive hizi itavurunda tu
Huwa nawatazama wachezaji wetu, ni wazito sana, ni wazito kuanzia kichwani. Hawana uwezo wa kufanya maamuzi haraka, mchezaji anaweza kushangaa na mpira mpaka ukachukuliwa au anakaba kwa macho mpaka goli linafungwa.

Huko upande wa mabeki ndio tatizo kubwa, tuna beki nzito kimwili na kiakili. Bora Licha na Varane walikuwa kidogo wanawezana, Varane alichangamshwa na Licha.
 
Kichwa alichopiga Haaland akaokoa Onana alikipiga kama yupo mazoezini. Timu yetu bado inatakiwa kufanya uwekezaji kwa kununua wachezaji sahihi, nilikuwa nafikiri tuna wachezaji wazuri wengi lakini sikuwa sahihi.
hamis77 mtampa heshima yake, ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom