clifford20
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 205
- 310
Uwez ondokaAaah! Kmke nimechoka na mateso ya kujitakia. Timu siyo kabila!!!
Uwez ondokaAaah! Kmke nimechoka na mateso ya kujitakia. Timu siyo kabila!!!
HahahahahahahahaAaah! Kmke nimechoka na mateso ya kujitakia. Timu siyo kabila!!!
Bado hujasema! 😂Aaah! Kmke nimechoka na mateso ya kujitakia. Timu siyo kabila!!!
Hii team hata kipa atoke mbinguni, kwa defencive hizi itavurunda tu
Brighton wapo vizuriAaah! Kmke nimechoka na mateso ya kujitakia. Timu siyo kabila!!!
hamis77 mtampa heshima yake, ni swala la muda tuKichwa alichopiga Haaland akaokoa Onana alikipiga kama yupo mazoezini. Timu yetu bado inatakiwa kufanya uwekezaji kwa kununua wachezaji sahihi, nilikuwa nafikiri tuna wachezaji wazuri wengi lakini sikuwa sahihi.
Hii penati kwa kweli duuuh! ni kweli kashikwa ila jinsi alivyoanguka duu! Pamoja na kuwa timu yetu sio nzuri akichezesha Tylaor au Michael Oliver gemu yetu kutoboa huwa ni ngumu sana sijui ni maono yangu au wote tunaona hivyo.