Na huu ndio ukweli,Hamna timu kabisa imebaki jina tu.
Na huu ndio ukweli,Hamna timu kabisa imebaki jina tu.
Duuu! Wamevunja rekodi ya mzeemufc have now lost as many Premier League games at Old Trafford since Sir Alex Ferguson retired as they did during his 26 years at the club.
Hawana fitnessHii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.
Hawana fitness
Kosa kubwa Sana umefanya kumkosea heshima Ole gunarName: Ten Hag
Hype: Klopp
Hair cut: Pep Gurdiola
Expectations: Sir Alex Ferguson
Attitude: Mourinho
Reality: Ole gunnar solskajar
Siokweli ,na hiki wengi kinawatafuna mkiamini kuwafunga Sheffield Burney hata Luton mpaka muwe na World class players,Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.







Mambo yetu hayakuhusuu kijanaa Jiheshimuu..

Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.





Hee









Kabisa hiyo timu inaonekana wachezaji hawako drilled vizuri kwenye fitness au wana over train kiasi wanaenda kwenye mechi wakiwa wamechoka kupita kiasi.Fitness coach anakula hela za bure tu