Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wazee wa tuma kwa namba hii wadakwa
1698609813150.png
 
mchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
huyu jamaa hapa ndo kamaliza kabisa
Screenshot_20231030_012356_X.jpg
 
We are the famous fucking red devils. Leo mbinu ni ileile hakuna mabadiliko, tunakaa nyuma tunaziba space vizuri, tukipata mali inapigwa kwa Bruno, Bruno anapiga ndefu kwa Rashford... Kamba. Au tunapiga ndefu Moja Kwa Moja kumtafuta Hojlund ... Kamba
Wacha we mko vizuri
 

Ili kuweza kushindana unahitajika uwekezaji mkubwa, nafasi moja inapaswa kuwa na wachezaji wazuri zaidi ya wawili. Leo hii DM anategemewa Casemiro pekee na ndio huyo ameshakuwa babu, akiwa nje ni msala.

Timu yetu baado saana!!
Amrabat je
 
Nawaombea mshinde Jumatano

Why? Mkifungwa ETH atakuwa karibuni kufukuzwa na binafsi sipend afukuzwe

Man u ndio timu pekee top 6 inacheza mpira wa peke yake

Akifukuzwa kocha ajaye atafanya vzr , wachezaji mnawaona wabaya but wengi wazuri ila hawana proper structure


Prince Boateng anasema akiwa pale sassuolo na miaka 32 alikuwa Bora sana chini ya Di zerbi,anasema walikuwa wanatengenezewa structure mchezaji unakuwa na option had 6 zakupiga pass ukifanyiwa press

Angalia pale Brighton ,kina Dunk ,Gross wachezaji wa Cent 2 lakini wanapiga pass ,wale hata uwafunge kitambaa usoni ,hawapotezi mpira na wamekuwa wakifanya hivo hata kwa huyo Pep Guardiola

Tatizo la man u Ni poor structure ya kocha sio wachezaji
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.
 
Back
Top Bottom