Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ili kuweza kushindana unahitajika uwekezaji mkubwa, nafasi moja inapaswa kuwa na wachezaji wazuri zaidi ya wawili. Leo hii DM anategemewa Casemiro pekee na ndio huyo ameshakuwa babu, akiwa nje ni msala.

Timu yetu baado saana!!
Amrabat je
 
Nawaombea mshinde Jumatano

Why? Mkifungwa ETH atakuwa karibuni kufukuzwa na binafsi sipend afukuzwe

Man u ndio timu pekee top 6 inacheza mpira wa peke yake

Akifukuzwa kocha ajaye atafanya vzr , wachezaji mnawaona wabaya but wengi wazuri ila hawana proper structure


Prince Boateng anasema akiwa pale sassuolo na miaka 32 alikuwa Bora sana chini ya Di zerbi,anasema walikuwa wanatengenezewa structure mchezaji unakuwa na option had 6 zakupiga pass ukifanyiwa press

Angalia pale Brighton ,kina Dunk ,Gross wachezaji wa Cent 2 lakini wanapiga pass ,wale hata uwafunge kitambaa usoni ,hawapotezi mpira na wamekuwa wakifanya hivo hata kwa huyo Pep Guardiola

Tatizo la man u Ni poor structure ya kocha sio wachezaji
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.
 
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.
Hawana fitness
 
Name: Ten Hag
Hype: Klopp
Hair cut: Pep Gurdiola
Expectations: Sir Alex Ferguson
Attitude: Mourinho
Reality: Ole gunnar solskajar
Kosa kubwa Sana umefanya kumkosea heshima Ole gunar

Sijui mnasahau au vipi but Ole gunar alikuwa mtu sahihi Sana
 
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.
Siokweli ,na hiki wengi kinawatafuna mkiamini kuwafunga Sheffield Burney hata Luton mpaka muwe na World class players,

Ten hag uwezo wake ni mdogo

Dany levy alimfanyia interview akamkataa


Daren Fletcher wa manjesta ndiye alimpitisha kufanya kazi man u

Screenshot_20231030-055907_1.jpg
 
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.
Nje ya Mourinho hakuna kocha mwingine yoyote alieifundisha United alihitajika na timu yoyote inayojielewa, wachezaji pia ni hivyohvyo hata sokoni hawauziki.
Nahisi msimu huu wachezaji wa United ndio wanaoongoza kwa kutembea uwanjani kuliko wachezaji wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.
Wachezaji hata molari hawana, tena wakibahatika kufunga kagoli kamoja ndio wanaona maisha wameyapatia kwelikweli muda wote wanapiga back passes tu, wakifungwa hata ile juhudi ya kurudisha goli huioni maana wanauhakika baada ya wiki £250,000 inaingia kwenye A/c
Hii timu ili ije kubadilika kitu cha kwanza na muhimu ni kukamata familia yote ya Gilaza unatia kwenye sandarusi unaweka na mawe halafu unaenda kuwatupa kwenye kina cha bahari.
Kama boss mwenye mali hana uchungu wowote na timu zaidi ya kuangalia faida tu anayoipata usitegemee wachezaji ndio wawe na uchungu na timu hapo kila mmoja anaangalia maslahi yake tu.
Marehemu mzee Glazzer angekua yupo hai sidhani kama angevumilia kuona huu upuuzi unaoendelea kwenye timu yake, mitoto ya marehemu haina uchungu wowote na mali ya urithi.

Yaani mpaka mseme
Bado hamjasemaa
 
Back
Top Bottom