Rashford hapendi kusikia hizi kauliPale mbele mnafanya uchoyo Sana kuachia mpira haraka



Hojland anashikwa anaogopa kuanguka apate penalty..


Akijiangusha halafu akala kadi ya njano kwa kumdanganya refa pia mtamsema.Tierny huyo anachezesha leo , Penalty ya kijinga SanaHii penati kwa kweli duuuh! ni kweli kashikwa ila jinsi alivyoanguka duu! Pamoja na kuwa timu yetu sio nzuri akichezesha Tylaor au Michael Oliver gemu yetu kutoboa huwa ni ngumu sana sijui ni maono yangu au wote tunaona hivyo.
Asante kwa correction nilichanganya jina huyu refa huwa wa hovyo sana maamuzi yake huwa ni kama yakubahatisha bahatisha hivi ni kama hajiamini anapuliza philimbi kutwa hadi anapoteza ladha ya mchezo.Tierny huyo anachezesha leo , Penalty ya kijinga Sana
Mancity anabebwa Sana
Vs Arsenal waligoma kutoa red kwa kova
Cry more 😂Tierny huyo anachezesha leo , Penalty ya kijinga Sana
Mancity anabebwa Sana
Vs Arsenal waligoma kutoa red kwa kova