Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,462
Miaka 30Mwaka wa sita mbona mdogo, liverpool kakaa miaka 20
Miaka 30Mwaka wa sita mbona mdogo, liverpool kakaa miaka 20
Dogo ajifue peke yake kwanza ili awe fitiAfadhali yani
Akirudi dogo ushindani wa namba utakuwa mkali kama bangi za Kingston JamaicaAntony awe anaanzia benchi tu sasa kama dogo anarudi
Yaani tuuze kitu cha kukopa?Huyu mwisho wa msimu auzwe
Nilikuwa sijui kama yupo kwa mkopo 😁Yaani tuuze kitu cha kukopa?
Target yao nazani wanasubiri tutwae Carabao ili wapandishe Dau washaona uelekeo wa Kombe hawawezi achia kirahisi.Hawa jamaa sidhan kama wanataka kuiachia hii club
Wauni hao arsenal wabebee Wapi UEFA labda 2055 huko.
Kaharibu tu hapo alivyoweka Arsenal. Ila chochote kinaweza kutokea
Labda tusubrieKaharibu tu hapo alivyoweka Arsenal. Ila chochote kinaweza kutokea
Alete watu....huyu dogo mfatilie afu utuletee analysis tumjueTen Hag is an admirer of Utrecht's Taylor Booth. Ten Hag still has strong ties to the club so is well informed on Booth's capabilities and is believed to be actively monitoring his progress.
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2505016
Mimi huwa nawashangaa sana mashabiki na wachambuzi hasa kina Scholes wakimdharau Antony sijui huwa hawaoni hatar yake? Warejee ile mechi ya Arsenal alipotoka uwanja ulielemea kwetu.Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Baada ya mechi urudi hapa we kengeKila la kheri crystal palace
OLISE man of the match
CASEMIRO RED CARD
ushindi Ndyo jadi yetu crystal Palace
Anachonikera anakatabia ka uselfish Ni mchoyo sana, labda ten hag atambadilisha hiyo tabia.Greenwood kam atamalizana na united sancho na antony namba hawana tena yule dogo ni hatari anatumia miguu yote yuko agressive san mnyumbulifu anapower anarud kumsaidia bek wakat tunashambuliwa dogo anakipaj san
Ni mchana?Matchday
GGMU..
Palace inabidi tumpige kama Ngoma leo.
schoolse skills yke kubwa kuliko wewe unaesh manzese una maarifa yoyote na mpira wa miguu kwani umecheza club gan wewe katika mchezaj ambae tenhag alibeti ni athony.Mimi huwa nawashangaa sana mashabiki na wachambuzi hasa kina Scholes wakimdharau Antony sijui huwa hawaoni hatar yake? Warejee ile mechi ya Arsenal alipotoka uwanja ulielemea kwetu.
Mchezaji anaweza asifunge goli au asitoe asist lakini the way anavyocheza anawafanya wapinzani wacheze kwa tahadhari kubwa hivyo kuwaharibia mipango yao. Hichi ndio nakiona kwa Antony tangu ametoka kombe la dunia amekuwa akikabwa na kukumbizwa na mtu zaidi ya mmoja pale anaposhika mpira. Hii mwanzo haikuwepo na ndio maana aliweza kushoot na kufunga magoli ya mbali rejea mechi ya city na arsenal ya kwanza.
hyo na masuala madogo katika uchezaj na yanabadilishika wachezaj weng walivyokuwa katika age ya greenwood walikuwa wapo hivyo ata mbappe alikuwa na tabia hyo na neymar juniour lkn ukikuwa na ukipata mwalimu mzuri unachange tenhag ni kocha mzur atampa maelekezo hyo makosa utoyaonaAnachonikera anakatabia ka uselfish Ni mchoyo sana, labda ten hag atambadilisha hiyo tabia.