Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag is an admirer of Utrecht's Taylor Booth. Ten Hag still has strong ties to the club so is well informed on Booth's capabilities and is believed to be actively monitoring his progress.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230203_180648_256.jpg
 
Ten Hag is an admirer of Utrecht's Taylor Booth. Ten Hag still has strong ties to the club so is well informed on Booth's capabilities and is believed to be actively monitoring his progress.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2505016
Alete watu....huyu dogo mfatilie afu utuletee analysis tumjue
 
Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Mimi huwa nawashangaa sana mashabiki na wachambuzi hasa kina Scholes wakimdharau Antony sijui huwa hawaoni hatar yake? Warejee ile mechi ya Arsenal alipotoka uwanja ulielemea kwetu.

Mchezaji anaweza asifunge goli au asitoe asist lakini the way anavyocheza anawafanya wapinzani wacheze kwa tahadhari kubwa hivyo kuwaharibia mipango yao. Hichi ndio nakiona kwa Antony tangu ametoka kombe la dunia amekuwa akikabwa na kukumbizwa na mtu zaidi ya mmoja pale anaposhika mpira. Hii mwanzo haikuwepo na ndio maana aliweza kushoot na kufunga magoli ya mbali rejea mechi ya city na arsenal ya kwanza.
 
Mimi huwa nawashangaa sana mashabiki na wachambuzi hasa kina Scholes wakimdharau Antony sijui huwa hawaoni hatar yake? Warejee ile mechi ya Arsenal alipotoka uwanja ulielemea kwetu.

Mchezaji anaweza asifunge goli au asitoe asist lakini the way anavyocheza anawafanya wapinzani wacheze kwa tahadhari kubwa hivyo kuwaharibia mipango yao. Hichi ndio nakiona kwa Antony tangu ametoka kombe la dunia amekuwa akikabwa na kukumbizwa na mtu zaidi ya mmoja pale anaposhika mpira. Hii mwanzo haikuwepo na ndio maana aliweza kushoot na kufunga magoli ya mbali rejea mechi ya city na arsenal ya kwanza.
schoolse skills yke kubwa kuliko wewe unaesh manzese una maarifa yoyote na mpira wa miguu kwani umecheza club gan wewe katika mchezaj ambae tenhag alibeti ni athony.
winger za kisasa zinapokuwa na mali mguuni zinaingia ndan kwa press ya hali ya juu ili kulazimisha makosa kwa mabeki wa upizani pass za maono na muunganiko mzur na wezake lkn athony akiwa na mpira ankimbilia kwenye chaki utatengeneza mazingira ya ushindi saa ngap anapoozesha mashambulizi anafanya safu ya ulinzi timu pizani kujipanga.
athony anao anao na mpira ni one touch fungua nikupasie kunamazingira ya kupiga chenga sio kila mpira unaopewa we unacheza na jukwaa hyu ni kama pogba na ujio wa mason greenwood kutamshinda nakupa hyo
 
Anachonikera anakatabia ka uselfish Ni mchoyo sana, labda ten hag atambadilisha hiyo tabia.
hyo na masuala madogo katika uchezaj na yanabadilishika wachezaj weng walivyokuwa katika age ya greenwood walikuwa wapo hivyo ata mbappe alikuwa na tabia hyo na neymar juniour lkn ukikuwa na ukipata mwalimu mzuri unachange tenhag ni kocha mzur atampa maelekezo hyo makosa utoyaona
 
schoolse skills yke kubwa kuliko wewe unaesh manzese una maarifa yoyote na mpira wa miguu kwani umecheza club gan wewe katika mchezaj ambae tenhag alibeti ni athony.
winger za kisasa zinapokuwa na mali mguuni zinaingia ndan kwa press ya hali ya juu ili kulazimisha makosa kwa mabeki wa upizani pass za maono na muunganiko mzur na wezako lkn athony akiwa na mpira ankimbilia kwenye chaki utatengeneza mazingira ya ushindi saa ngap anapoozesha mashambulizi anafanya safu ya ulinzi timu pizani kujipanga.
athony anao anao na mpira ni one touche fungua nikupasie kunamazingira ya kupiga chenga sio kila mali unayopewa we unacheza na jukwaa hyu ni kama pogba na ujio wa mason greenwood kutamshinda nakupa hyo
Mpira ni mbinu. Kwenye mpira hakuna mbinu moja pekee, zipo nyingi.

Kuna wakati defense ya wapinzani inakua imebana sana uwanja na hivyo kuwanyima nafasi ya nyie kushambulia.
Nyakati kama hizo unakua unahitaji winga (Anthony and the likes) anayetanua uwanja ili kuwavuta pembeni walinzi na hatimaye nafasi za kushambulia (spaces) zipatikane.

Kukiwa hakuna uhitaji wa kucheza na mapana ya uwanja, hapo unahitaji winga wa kuingia ndani (Sancho and the likes) ili kuweza kulitumia vema eneo la mbele ya goli la mpinzani.

Unaposema kwamba Anthony ni mchezaji mbaya au asiyefaa maana yake unataka United iwe ni timu inayotumia mbinu moja tu.

Mimi binafsi sioni kama hilo pendekezo lako ni sahihi sana. Tunacheza mechi nyingi, aina tofauti tofauti za wapinzani, tunapaswa kuwa na aina tofauti tofauti za silaha.
 
Mpira ni mbinu. Kwenye mpira hakuna mbinu moja pekee, zipo nyingi.

Kuna wakati defense ya wapinzani inakua imebana sana uwanja na hivyo kuwanyima nafasi ya nyie kushambulia.
Nyakati kama hizo unakua unahitaji winga (Anthony and the likes) anayetanua uwanja ili kuwavuta pembeni walinzi na hatimaye nafasi za kushambulia (spaces) zipatikane.

Kukiwa hakuna uhitaji wa kucheza na mapana ya uwanja, hapo unahitaji winga wa kuingia ndani (Sancho and the likes) ili kuweza kulitumia vema eneo la mbele ya goli la mpinzani.

Unaposema kwamba Anthony ni mchezaji mbaya au asiyefaa maana yake unataka United iwe ni timu inayotumia mbinu moja tu.

Mimi binafsi sioni kama hilo pendekezo lako ni sahihi sana. Tunacheza mechi nyingi, aina tofauti tofauti za wapinzani, tunapaswa kuwa na aina tofauti tofauti za silaha.
nakupinga kwa maana style ya anthony ni yakizaman saan na mpira mgumu na uwepo wake nafas chache san tunatengeneza na ucheleweshaj wa ushind anawavuta pemben alafu mali anapoteza au mabek wanabrock cjaona kwa namna anavyocheza uhatari wake rejea mech ya nottiham forest tulivyofanya sub ya athony na werghost martial na sancho bruno alienda pemben na sancho alicheza kama namba kumi pass zilikpigwa kwa wakat nafas zilitengenezwa nying na zikatumiwa vyema tulicheza mpira wa daraja la juu na upande wke ulikuwa wa hatari bruno jins alivyocheza japo sio winga alipiga pass ambayo athony awez piga inaitwa kibao kwa lugha ya kwetu na alicyowepo tunaona goli na nafas za waz kam tulivyofanya sub hyo picha inaonesha athony n mchezaj wa daraja la kawaida
 
nakupinga kwa maana style ya anthony ni yakizaman saan na mpira mgumu na uwepo wake nafas chache san tunatengeneza na ucheleweshaj wa ushind anawavuta pemben alafu mali anapoteza au mabek wanabrock cjaona kwa namna anavyocheza uhatari wake rejea mech ya nottiham forest tulivyofanya sub ya athony na werghost martial na sancho bruno alienda pemben na sancho alicheza kama namba kumi pass zilikpigwa kwa wakat nafas zilitengenezwa nying na zikatumiwa vyema tulicheza mpira wa daraja la juu na upande wke ulikuwa wa hatari bruno jins alivyocheza japo sio winga alipiga pass ambayo athony awez piga inaitwa kibao kwa lugha ya kwetu na alicyowepo tunaona goli na nafas za waz kam tulivyofanya sub hyo picha inaonesha athony n mchezaj wa daraja la kawaida
Nadhani hatuwezi kuelewana kabisa.
 
Back
Top Bottom