D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Glazer ndani ya dubai
Sean dyche kawafundisha adabu..Arsenal wamenyanduliwa huko !!!!
What a day !
Aseno tayariFixture za mchana huwa kichomi sana unaweza kuta ndiyo unakuwa kubwa jinga la week.
Dyche Ni muumini wa soka la kujilinda Sana ,,,, arsenal wamepigwa pini kila mahaliSean dyche kawafundisha adabu..
Vilaza mnaamini football analysts lazima wawe wamecheza mpira.schoolse skills yke kubwa kuliko wewe unaesh manzese una maarifa yoyote na mpira wa miguu kwani umecheza club gan wewe katika mchezaj ambae tenhag alibeti ni athony.
winger za kisasa zinapokuwa na mali mguuni zinaingia ndan kwa press ya hali ya juu ili kulazimisha makosa kwa mabeki wa upizani pass za maono na muunganiko mzur na wezake lkn athony akiwa na mpira ankimbilia kwenye chaki utatengeneza mazingira ya ushindi saa ngap anapoozesha mashambulizi anafanya safu ya ulinzi timu pizani kujipanga.
athony anao anao na mpira ni one touch fungua nikupasie kunamazingira ya kupiga chenga sio kila mpira unaopewa we unacheza na jukwaa hyu ni kama pogba na ujio wa mason greenwood kutamshinda nakupa hyo