Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

schoolse skills yke kubwa kuliko wewe unaesh manzese una maarifa yoyote na mpira wa miguu kwani umecheza club gan wewe katika mchezaj ambae tenhag alibeti ni athony.
winger za kisasa zinapokuwa na mali mguuni zinaingia ndan kwa press ya hali ya juu ili kulazimisha makosa kwa mabeki wa upizani pass za maono na muunganiko mzur na wezake lkn athony akiwa na mpira ankimbilia kwenye chaki utatengeneza mazingira ya ushindi saa ngap anapoozesha mashambulizi anafanya safu ya ulinzi timu pizani kujipanga.
athony anao anao na mpira ni one touch fungua nikupasie kunamazingira ya kupiga chenga sio kila mpira unaopewa we unacheza na jukwaa hyu ni kama pogba na ujio wa mason greenwood kutamshinda nakupa hyo
Sijamaliza kusoma comment yako pale ulipoonyesha kudharau maoni ya mtu wa manzese na kuabudu maoni ya mtu wa ulaya kisa ni mzungu. Wala simdharau Scholes namuheshimu sana mchango waje akiwa mchezaji pale utd ila sio kila anachosema yeye yupo sahihi.

Hivi unajua kuwa huyo unayemuita mtaalanu alishawahi pewa timu kule daraja la kwanza inaitwa Ordham kama sikosei na akafurushwa ndani ya miezi miwili. Unakumbuka pia Gary Nevil naye alipewa timu huko Spain yakamshinda.

Antony ni mchezaji mzuri tena sana tu, wewe mtizame alipokuwa Ajax. Na hata alipotua OT alicheza vyema mechi za kwanza hivyo ni swala la muda tu kurudi kwenye peak yake.
 
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 2 vs crystal palace 1

Time
12:00 jioni

Stadium
Old Trafford

Last match
Crystal palace 1 vs Manchester United 1

GGMU
1675417636507.jpg
 
Sijamaliza kusoma comment yako pale ulipoonyesha kudharau maoni ya mtu wa manzese na kuabudu maoni ya mtubwa ulaya kisa ni mzungu. Wala simdharau Scholes namuheshimu sana mchango waje akiwa mchezaji pale utd ila sio kila anachosema yeye yupo sahihi.

Hivi unajua kuwa huyo unayemuita mtaalanu alishawahi pewa timu kule daraja la kwanza inaitwa Ordham kama sikosei na akafurushwa ndani ya miezi miwili. Unakumbuka pia Gary Nevil naye alipewa timu huko Spain yakamshinda.

Antony ni mchezaji mzuri tena sana tu, wewe mtizame alipokuwa Ajax. Na hata alipotua OT alicheza vyema mechi za kwanza hivyo ni swala la muda tu kurudi kwenye peak yake.
kwny kufundisha na kuujua mpira wa miguu vitu tofauti maradona na mpira wake wote lkn sio kocha mzur lkn anauwezo wa kutambua sifa za mchezaj mzuri na mahitaj ya team anayocheza kukuzid ww sisi mpira tunajifunza kwa wazungu lazima tuwaheshimu maono yao lkn sio kwakumsoa alafu mawazo yako wewe yawe bora.binafsi mm simuelew athony utoto mwingi sana akiwa na mpira ana uhatari wowote ata team pinzani haimuofii kama wanavyo ogopwa wakina rashid hyu dogo subir greenwood arud alafu awe kweny fomu yke uone kama ana namba pale na ata sacho akiwa makini na mung amuepushe na majeraha kiwango chake kirejee atakuwa mchezaj wa sub au fa cup
 
Maoni yangu kuhusu Greenwood, Utd wanasema kuwa wanafanya uchunguzi wenyewe wapo sahihi !

Wazungu wako makini Sana na Mambo ya violation, Man Utd Ni brand kubwa world wide, hawawezi kumrudisha kikosini kizembe waaribu image ya timu, wapoteze mvuto kwa sponsors kwa uzembe wa mpuuzi mmoja !

So watachunguza then jibu litakalopatikana ndio itakuwa hatma ya huyu mchezaji ,,,,

Tunachukulia powa, lakini timu inaweza kumuuza kabisa ama kumuacha aondoke Bure ,,,, !!!

Kujenga brand ina-take time, may be years, ila kuibomoa Ni sekunde tu !

Binafsi naomba tu abaki, arudi, hAta Kama Ni next season, chini ya EtH anaweza kuwa Moto wa kuotea mbali
 
Maoni yangu kuhusu Greenwood, Utd wanasema kuwa wanafanya uchunguzi wenyewe wapo sahihi !

Wazungu wako makini Sana na Mambo ya violation, Man Utd Ni brand kubwa world wide, hawawezi kumrudisha kikosini kizembe waaribu image ya timu, wapoteze mvuto kwa sponsors kwa uzembe wa mpuuzi mmoja !

So watachunguza then jibu litakalopatikana ndio itakuwa hatma ya huyu mchezaji ,,,,

Tunachukulia powa, lakini timu inaweza kumuuza kabisa ama kumuacha aondoke Bure ,,,, !!!

Kujenga brand ina-take time, may be years, ila kuibomoa Ni sekunde tu !

Binafsi naomba tu abaki, arudi, hAta Kama Ni next season, chini ya EtH anaweza kuwa Moto wa kuotea mbali
Mahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna kiongozi mmoja wa simba alishtakiwa kipindi fulani huko nyuma ila baadae mahakama ikaona Hana hatia, juzi ameenda kuchukua nafasi za kugombea uongozi, club ya simba ikakata Jina lake kutokana na Sakata lake la mahakama...japo mahakama ilimuona Hana hatia

So kwa scenario ya Mason, tuipe muda club ijiridhishe kwanza.. Wenzetu wapo Makini kidogo hasa kwa kosa alilokuwa anatuhumiwa wanalichukulia seriously mno, mahaba yote kwa mchezaji wameweka pembeni...

Let's wait, time will tell
 
Mahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi wa Mashabiki mtandaoni wanasema Greenwood akirudi itawahuzunisha sana..na wengine wanasema watakuwa wanamzomea..Haya ndo yanafanya hii ngoma kuwa ngumu.
 
Kuna kiongozi mmoja wa simba alishtakiwa kipindi fulani huko nyuma ila baadae mahakama ikaona Hana hatia, juzi ameenda kuchukua nafasi za kugombea uongozi, club ya simba ikakata Jina lake kutokana na Sakata lake la mahakama...japo mahakama ilimuona Hana hatia

So kwa scenario ya Mason, tuipe muda club ijiridhishe kwanza.. Wenzetu wapo Makini kidogo hasa kwa kosa alilokuwa anatuhumiwa wanalichukulia seriously mno, mahaba yote kwa mchezaji wameweka pembeni...

Let's wait, time will tell
Yeah,,,

Lazima club ijiridhishe,,,,

Mahaba sijui talent weka pembeni , wenzetu wako serious Sana na haya Mambo !!!!!

Sio jambo la kukurupuka tu ,,,,

Tena kipindi anakutwa na tuhuma ingekuwa club nyingine ingevunja kabisa mkataba ,,, uingereza wake umemsaidia !
 
Kuna baadhi wa Mashabiki mtandaoni wanasema Greenwood akirudi itawahuzunisha sana..na wengine wanasema watakuwa wanamzomea..Haya ndo yanafanya hii ngoma kuwa ngumu.
Ngoma ngumu mkuu,,,, naona pia club ime-act smart Sana kwa kusema bado wanachunguza kujiridhisha !!!!

Pengine club bado inamuhitaji mchezaji lakn hapa Kama wanazuga flani ili ku-balance Mambo kusiwe na kelele nyingi pindi wakimrejesha !
 
Back
Top Bottom