Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,088
- 2,019
Ninahisi anaweza kuwekwa sokoni au kuachwa aondoke.
Tusubiri tuone.
Sio kirahisi hivyo, kwa zile forward tulizonazo hakuna hata 1 anayefikia uwezo wa Greenwood kwenye finishing, Period
Ninahisi anaweza kuwekwa sokoni au kuachwa aondoke.
Tusubiri tuone.
Siongelei uwezo wa huyo bwana mdogo.Sio kirahisi hivyo, kwa zile forward tulizonazo hakuna hata 1 anayefikia uwezo wa Greenwood kwenye finishing, Period
Siongelei uwezo wa huyo bwana mdogo.
Kuna mambo mengi, ndio maana Uongozi umeamua na wenyewe kufanya uchunguzi.
Tusubiri tuone.
Mahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?Maoni yangu kuhusu Greenwood, Utd wanasema kuwa wanafanya uchunguzi wenyewe wapo sahihi !
Wazungu wako makini Sana na Mambo ya violation, Man Utd Ni brand kubwa world wide, hawawezi kumrudisha kikosini kizembe waaribu image ya timu, wapoteze mvuto kwa sponsors kwa uzembe wa mpuuzi mmoja !
So watachunguza then jibu litakalopatikana ndio itakuwa hatma ya huyu mchezaji ,,,,
Tunachukulia powa, lakini timu inaweza kumuuza kabisa ama kumuacha aondoke Bure ,,,, !!!
Kujenga brand ina-take time, may be years, ila kuibomoa Ni sekunde tu !
Binafsi naomba tu abaki, arudi, hAta Kama Ni next season, chini ya EtH anaweza kuwa Moto wa kuotea mbali
Kuna vitu viwili nimevitaja hapoMahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna kiongozi mmoja wa simba alishtakiwa kipindi fulani huko nyuma ila baadae mahakama ikaona Hana hatia, juzi ameenda kuchukua nafasi za kugombea uongozi, club ya simba ikakata Jina lake kutokana na Sakata lake la mahakama...japo mahakama ilimuona Hana hatiaMahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi wa Mashabiki mtandaoni wanasema Greenwood akirudi itawahuzunisha sana..na wengine wanasema watakuwa wanamzomea..Haya ndo yanafanya hii ngoma kuwa ngumu.Mahakama Si imemuona hana hatia? Sasa uchunguzi wa mahakama na wa klabu upi upo makini?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Yeah,,,Kuna kiongozi mmoja wa simba alishtakiwa kipindi fulani huko nyuma ila baadae mahakama ikaona Hana hatia, juzi ameenda kuchukua nafasi za kugombea uongozi, club ya simba ikakata Jina lake kutokana na Sakata lake la mahakama...japo mahakama ilimuona Hana hatia
So kwa scenario ya Mason, tuipe muda club ijiridhishe kwanza.. Wenzetu wapo Makini kidogo hasa kwa kosa alilokuwa anatuhumiwa wanalichukulia seriously mno, mahaba yote kwa mchezaji wameweka pembeni...
Let's wait, time will tell
Ngoma ngumu mkuu,,,, naona pia club ime-act smart Sana kwa kusema bado wanachunguza kujiridhisha !!!!Kuna baadhi wa Mashabiki mtandaoni wanasema Greenwood akirudi itawahuzunisha sana..na wengine wanasema watakuwa wanamzomea..Haya ndo yanafanya hii ngoma kuwa ngumu.
Amekua na msimu mbaya sana aiseAnthony Martial is carrying another injury
Sean dyche kawafundisha adabu..Arsenal wamenyanduliwa huko !!!!
What a day !
Aseno tayariFixture za mchana huwa kichomi sana unaweza kuta ndiyo unakuwa kubwa jinga la week.