Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ww Ni mropokaji
Soma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.

1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
 
Sources close to Qatar Sports Investments have confirmed that there is interest in Manchester United.


#TheAthletic
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2496175
Daahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.
 
Daahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.
Rio Ferdinand

"Huyu Anthony tumepigwa"
 
Soma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.

1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
 
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
Hiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.

Msimu huu Man City tu ndiyo alifanya total dominance dhidi yetu, walitukamata kila mahali ile mechi ya kwanza.
 
Angalia takwimu utajua yupi mbovuView attachment 2496143
Huu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4

Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyi
IMG_20230126_135736.jpg
 
Hiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.

Msimu huu Man City tu ndiyo alifanya total dominance dhidi yetu, walitukamata kila mahali ile mechi ya kwanza.
Labda sio Emirates hi
Arsenal (2.93) 3-2 Manchester United (0.33)

#xG #ARSMUN
 
Huu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4

Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyi View attachment 2496222
Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za Rashidi

Sio kwamba hampendi kutawala mechi ,ila mnazidiwa na kupelekewa Moto

Sio kwamba Zile hasa dk 20 za mwisho mlipenda kukaa nyuma ,Ni mlilazimishwa

Sio kweli kwamba mliruhusu kwa hiari Arsenal awapigie mashuti 20 ndani ya box lenu na 5 nje ya box ,Mlilazimishwa
 
Back
Top Bottom