Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda EmiratesSoma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.
1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.