Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Sasa una-dominate mechi halafu conversion rate kwa dk 90 unakuwa sawa na opponent wako. 😂Angalia takwimu utajua yupi mbovuView attachment 2496143
Arsenal hamna timu ya kubeba EPL.
Sasa una-dominate mechi halafu conversion rate kwa dk 90 unakuwa sawa na opponent wako. 😂Angalia takwimu utajua yupi mbovuView attachment 2496143
Kwahiyo mliondoka na point 3?Sasa una-dominate mechi halafu conversion rate kwa dk 90 unakuwa sawa na opponent wako.
Arsenal hamna timu ya kubeba EPL.

Ww Ni mropokajiHizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal
7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.
United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.
View attachment 2486472
Point 3 muhimu leo tukae namba 2

HeheeeCndio hapo mkuu, hiyo jay pili watajua hawajui.
Unajifariji Sana na hi timu ya wazeeArsenal hii mechi hawatoboi. Kipigo ni palepale Emirates.
Kaka malizana na timu ya weusi kwanza, mambo ya Partey baadae

Alikuwa hajakutana na nketiaBissaka amekuwa![]()
Soma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.Ww Ni mropokaji
Daahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.Sources close to Qatar Sports Investments have confirmed that there is interest in Manchester United.
#TheAthletic
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2496175
Rio FerdinandDaahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda EmiratesSoma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.
1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
Sasa hivi upo ktk hali ganArsenal hii mechi hawatoboi. Kipigo ni palepale Emirates.
Wewe mropokaji umepotea Baada ya kichapoHalafu wamekariri team ya msimu uliopita waliyoifunga Emirates viungo walicheza Matic na McTomminay
Mpira wa janja janja hauna nafasiJumapili tutawaonesha mpira wa ujanja ujanja ,wakuvizia kaunta hauna nafasi ,na haufai katika harakati za kupigania ubingwa
Manyua Haina pesaBaada ya dili la Wout na Butland kukamilika hakuna tetesi nyingine au mpaka summer ?
All in all, kikosi kimesheheni tuombe tu tusipate majeruhi key players !
Unasema una project huku unajenga timu kupitia wazee
Kwa timu ya kupaki BasiTukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
IlikuwajeUnited pass 3 mpk 5 goal, hii ndio nature ya united.....arsenal wanaleta dharau kwa boss wao, tutawashagaza
Huu uropokaji wenu ndio unafanya Sasa muwe wakaliWakati united wanawapakua arsena8 3-1 huyo boya alikua hayupo? Tena siku ile shukuruni gari lilikuwa halijawaka, jumapili kuna 8 zingine zinakuja
