Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,098
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?




