Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
 
Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?

Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.

Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
 
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?

Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.

Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Unajielezea sana. Lazima mkubali pale mmepigwa!
 
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?

Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.

Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Acha makasirikio ,tunaisubiri hiyo timu tishio
 
Kwa asiyejua mpira atakua ana maoni kama yako.
Mpira sio kitu rahisi ndugu, zama zimebadilika, antony sio mbaya kama huoni kazi anayoifanya ni bora tu ukae kimya. Labda tuelezane shida ni nini kwa huyu dogo tatizo lipo wapi?
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki
 
Mbona mnakuwa wakali hivo
Mimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.
Binafsi huwezi kunikuta hata siku moja kwenye thread ya timu nyingine may be arsenal or liverpool nikacomment chochote maana kwa mimi naona huo ni umbea na ujinga ila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Goli mngepatia wapi ,wakati Hata hizo 2 Ni makosa ya Arsenal wenyewe

Kwenye box la Arsenal Mara 12 tu ndan ya dakika 90 ndio mliingia

Akiwepo Anthony mliingia Mara 4 tu
 
Mimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.
Binafsi huwezi kunikuta hata siku moja kwenye thread ya timu nyingine may be arsenal or liverpool nikacomment chochote maana kwa mimi naona huo ni umbea na ujinga ila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia
Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa Mara

Kama wewe hauji kule Basi wenzio wanakuja na kutupigia kelele Hadi kutuma matokeo ya man u kwenye jukwaa la Arsenal

Kwahiyo kaa kwa kutulia, Kama unaumia ,vumilia tu
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Yule Anthony MMEPIGWA au HAMJAPIGWA?
 
Back
Top Bottom