Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa asiyejua mpira atakua ana maoni kama yako.
Mpira sio kitu rahisi ndugu, zama zimebadilika, antony sio mbaya kama huoni kazi anayoifanya ni bora tu ukae kimya. Labda tuelezane shida ni nini kwa huyu dogo tatizo lipo wapi?
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki[emoji23]
 
Mbona mnakuwa wakali hivo[emoji1787][emoji1787][emoji3]
Mimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.
Binafsi huwezi kunikuta hata siku moja kwenye thread ya timu nyingine may be arsenal or liverpool nikacomment chochote maana kwa mimi naona huo ni umbea na ujinga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Goli mngepatia wapi ,wakati Hata hizo 2 Ni makosa ya Arsenal wenyewe

Kwenye box la Arsenal Mara 12 tu ndan ya dakika 90 ndio mliingia

Akiwepo Anthony mliingia Mara 4 tu
 
Mimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.
Binafsi huwezi kunikuta hata siku moja kwenye thread ya timu nyingine may be arsenal or liverpool nikacomment chochote maana kwa mimi naona huo ni umbea na ujinga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa Mara

Kama wewe hauji kule Basi wenzio wanakuja na kutupigia kelele Hadi kutuma matokeo ya man u kwenye jukwaa la Arsenal

Kwahiyo kaa kwa kutulia, Kama unaumia ,vumilia tu
 
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Yule Anthony MMEPIGWA au HAMJAPIGWA?[emoji1787][emoji1787]
 
Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa Mara

Kama wewe hauji kule Basi wenzio wanakuja na kutupigia kelele Hadi kutuma matokeo ya man u kwenye jukwaa la Arsenal

Kwahiyo kaa kwa kutulia, Kama unaumia ,vumilia tu
Soma vizuri nilichoandika no hard feelings, nimesema neno binafsi.
means wewe na hao wote wanaokuja huko ndo wale wale tu. Eti hujagi mara kwa mara sasa hapa muda huu sijui upo wapi? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hamna ukali wowote hapo jibu hayo maswali mawili
1. Wewe unamfahamu sana Antony kuliko ETH na jopo lake?
2. Hela ya kumsajili umeitoa wewe?
Hawa jamaa roho hua inawauma sana kuona mapato na matumizi yetu ni makubwa mara 5 zaidi kuliko wao.
Mimi nilishawaambia bajeti ya matumizi ya familia ya kizaramo inayoishi tandale kwa tumbo haiwezi kua sawa na bajeti ya mmnyamwezi anaeishi Osterbay.
Kabla ya Arsenyani kutaka kujilinganisha na sisi kwenye matumizi waanze kwanza kujilinganisha nasi kwenye mapato.
Mtoto wa kishua kutoa laki mbili kununua suruali aliyoipenda mall ni jambo la kawaida wala haoni kua ni anasa, ila mzaramo baada ya kuona hio pesa iliyotumika kununua suruali anaanza kulalamika yeye kua tumepigwa wakati kuna suruali kibao kariakoo zimemwagwa barabarani zinauzwa 15,000/-
 
Soma vizuri nilichoandika no hard feelings, nimesema neno binafsi.
means wewe na hao wote wanaokuja huko ndo wale wale tu. Eti hujagi mara kwa mara sasa hapa muda huu sijui upo wapi? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kaa kwa kutulia , Kama wenzako wanakuja Basi huwez kutuzuia sisi kuja humu
Na kabla ya mechi waliongea watakavyo. After mechi wamepotea ,so huna mamlaka ya kutuzuia kuja humu
 
Goli mngepatia wapi ,wakati Hata hizo 2 Ni makosa ya Arsenal wenyewe

Kwenye box la Arsenal Mara 12 tu ndan ya dakika 90 ndio mliingia

Akiwepo Anthony mliingia Mara 4 tu
Sasa kama tumeweza kuingia kwenye box mara 4 na tukapata goli 2 nyinyi mliongia kwenye box mara 65 mkaishia kupata goli 3 hamjioni kua ni mazwazwa?
Man Utd hatuhitaji kuingia kwenye box mara nyingi ili tupate goli, kama wewe unajihesabia kuingia kwenye box mara nyingi ndio ushindi basi utakua umefeli.
 
Sasa kama tumeza kuingia kwenye box mara 4 na tukapata goli 2 nyinyi mliongia kwenye box mara 65 mkaishia kupata goli 3 hamjioni kua ni mazwazwa?
Man Utd hatuhitaji kuingia kwenye box mara nyingi ili tupate goli, kama wewe unajihesabia kuingia kwenye box mara nyingi ndio ushindi basi utakua umefeli.
3 points tuliongeza
 
Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki[emoji23]
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside? 😂
 
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside? [emoji23]
Angalia takwimu utajua yupi mbovu
IMG-20230122-WA0059.jpg
 
Back
Top Bottom