
Wanasema 10 hug ana jicho la kusajiliHili silipingi
Usiwe na wivu kisa wewe hupost wenzio wanapost.We unatakaje
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Unajielezea sana. Lazima mkubali pale mmepigwa!Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Kwaiyo wewe unamfahamu sana Anthony kuliko ETH na jopo lake?Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Acha makasirikio ,tunaisubiri hiyo timu tishioHii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?

Mbona mnakuwa wakali hivoKwaiyo wewe unamfahamu sana Anthony kuliko ETH na jopo lake?
Hata kama tukipigwa hela umetoa wewe?



Hamna ukali wowote hapo jibu hayo maswali mawiliMbona mnakuwa wakali hivo![]()
Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.Kwa asiyejua mpira atakua ana maoni kama yako.
Mpira sio kitu rahisi ndugu, zama zimebadilika, antony sio mbaya kama huoni kazi anayoifanya ni bora tu ukae kimya. Labda tuelezane shida ni nini kwa huyu dogo tatizo lipo wapi?
Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfikiWapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.

Haiondoi Pale MMEPIGWAHamna ukali wowote hapo jibu hayo maswali mawili
1. Wewe unamfahamu sana Antony kuliko ETH na jopo lake?
2. Hela ya kumsajili umeitoa wewe?
Mimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.Mbona mnakuwa wakali hivo![]()



ila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia 



Goli mngepatia wapi ,wakati Hata hizo 2 Ni makosa ya Arsenal wenyeweWapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.
Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa MaraMimi sikupangii wapi uingie ucomment au upost, ila kinachonishangaza ni wewe daily upo humu kwenye thread ya man u na wewe ni arsenal.
Binafsi huwezi kunikuta hata siku moja kwenye thread ya timu nyingine may be arsenal or liverpool nikacomment chochote maana kwa mimi naona huo ni umbea na ujingaila kwakuwa man u ni chama kubwa linakukosesha amani unaona utawashwa bila kuja humu kuchungulia
![]()
Yule Anthony MMEPIGWA au HAMJAPIGWA?Wapuuzi hawa, wanajisahaulisha jinsi alivyowakimbiza kipindi cha kwanza, na pona yao ni pale tu alipotolewa la sivyo walikua wanakula zaidi ya goli 5 kwenye kitanda chao wenyewe.
Arsenyani mshukuruni sana 10 hag kwa utu na huruma yake ya kuamua kumtoa Anthony ili msidhalilike.


Hata hizo goli 2 Kuna watu wanajiuliza walizipatajeGoli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki![]()

