Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,865
- 16,392
Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo ya kufunga goli sio utamaduni wetu broo.Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za Rashidi
Sio kwamba hampendi kutawala mechi ,ila mnazidiwa na kupelekewa Moto
Sio kwamba Zile hasa dk 20 za mwisho mlipenda kukaa nyuma ,Ni mlilazimishwa
Sio kweli kwamba mliruhusu kwa hiari Arsenal awapigie mashuti 20 ndani ya box lenu na 5 nje ya box ,Mlilazimishwa
Attemps 3 kwa goli 1 hio ndio standard yetu Manchester United.
Kwamba mlikuwa na uwezo wa ku attempt Mara 30 

tukifungwa nyie mnashangilia.
