Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag: “Garnacho can compete at the highest level. He has a skill that I don’t see many players in the Premier League having, he beats players one-on-one”

“There’s still room for improvement. He’s learnt in the last months about how to play in a team”, says via MEN.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230118_120228_816.jpg
 
Ile game tulikuja bila DM wetu wawili Elneny na Partey ,ikatulazimu acheze Lokonga ,lakini cha ajabu mlishindwa kabisa kukaa na mpira

Game hii mnakuja tukiwa full ,tena home , kazi mnayo
Our main target ni 6 points from Asernal.Weekend hii tunaendeleza tulipoishia kwaiyo tutawapiga 3+ goal kama ngoma na kuchukua 3 points kwasababu 3 muhimu tulizonazo:
1. Uwezo ( Timu imeimarika na inastahili)
2. Nia (Kuirejesha heshima ya club iliyopotea)
3. Sababu (Kuchukua ubingwa msimu huu)
 
Our main target ni 6 points from Asernal.Weekend hii tunaendeleza tulipoishia kwaiyo tutawapiga 3+ goal kama ngoma na kuchukua 3 points kwasababu 3 muhimu tulizonazo:
1. Uwezo ( Timu imeimarika na inastahili)
2. Nia (Kuirejesha heshima ya club iliyopotea)
3. Sababu (Kuchukua ubingwa msimu huu)
Tutakuja kufukua haya makaburi
 
Ile game tulikuja bila DM wetu wawili Elneny na Partey ,ikatulazimu acheze Lokonga ,lakini cha ajabu mlishindwa kabisa kukaa na mpira

Game hii mnakuja tukiwa full ,tena home , kazi mnayo
Sisi hatukuwa na shida ya mpira tulikuwa na shida ya magoli tu na point tatu.

Tutakuja kuzichukua tena
 
Ile game tulikuja bila DM wetu wawili Elneny na Partey ,ikatulazimu acheze Lokonga ,lakini cha ajabu mlishindwa kabisa kukaa na mpira

Game hii mnakuja tukiwa full ,tena home , kazi mnayo
United mechi aliyoongoza kwa ball possession against big 6 ni ya Spurs tu nyingine zote opponents ndiyo wanakaa sana na mpira lakini kipigo kinakuwa kwao.

Kama kawaida yetu pasi 5 goli. Nyie Arsenal mnatamba sana kwasababu mmewafunga wachovu kama Spurs. Yale magoli ni moja tu la Captain ndiyo utahesabu kama kitu Arsenal walifanya kwenye ile mechi. 2nd half timu ilikatika mlipoteana sana na mlipelekewa moto.

Hii mechi mmeirahisisha sana lakini hamjui kitu mnachoenda kukutana nacho, nyie mnaamini atmosphere ya Emirates tu, pale tuna wachezaji wamecheza Camp Nou, wamecheza kwenye big stages unadhani Emirates ni sehemu utaweza kuwapoteza?

Jiulize, mnaenda kukutana na timu ya aina gani? Ni tofauti kabisa na ile iliyowapiga 3. Bora zaidi!
 
Weekend sio mbali
Mkuu, achana nae huyo mchambuzi na shabiki uchwala wa arsenyonyo, huyu baada ya kile kipigo cha bao 3 kwa 1, alipotea hiyo cku akaja na blah blah nyingi, sio hivyo tu vikianza vipigo mfululizo anajipiga burn.

Hawa nikuwanyoosha hiyo jay pili na partey wao, hili waje na sababu tena nyingine ya kijinga.
 
United mechi aliyoongoza kwa ball possession against big 6 ni ya Spurs tu nyingine zote opponents ndiyo wanakaa sana na mpira lakini kipigo kinakuwa kwao.

Kama kawaida yetu pasi 5 goli. Nyie Arsenal mnatamba sana kwasababu mmewafunga wachovu kama Spurs. Yale magoli ni moja tu la Captain ndiyo utahesabu kama kitu Arsenal walifanya kwenye ile mechi. 2nd half timu ilikatika mlipoteana sana na mlipelekewa moto.

Hii mechi mmeirahisisha sana lakini hamjui kitu mnachoenda kukutana nacho, nyie mnaamini atmosphere ya Emirates tu, pale tuna wachezaji wamecheza Camp Nou, wamecheza kwenye big stages unadhani Emirates ni sehemu utaweza kuwapoteza?

Jiulize, mnaenda kukutana na timu ya aina gani? Ni tofauti kabisa na ile iliyowapiga 3. Bora zaidi!
Halafu wamekariri team ya msimu uliopita waliyoifunga Emirates viungo walicheza Matic na McTomminay
 
Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal 😁

7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.

United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.

Screenshot_20230118-191855_SofaScore.jpg
 
Back
Top Bottom