Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Henry hajaongea haya maneno wamemlisha tuWazee tujadili potential zinazofaa kuja united, tuache kubishana na arsenal
TIERY HENRY "namuamini arteta, naipenda arsenal pia lkn tumeona project ya miaka mitatu ya arteta dhidi ya project yeny miezi sita ya ETH, pia man u kapumzika Siku 3 dhidi ya timu imepumzika wiki moja kabla ya game, kwahili namuunga mkono na kuwa shabiki wa ETH anafany maajabu na naamini ndani ya miaka miwili atakuwa na timu top hapa england na ulaya"


