Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazee tujadili potential zinazofaa kuja united, tuache kubishana na arsenal


TIERY HENRY "namuamini arteta, naipenda arsenal pia lkn tumeona project ya miaka mitatu ya arteta dhidi ya project yeny miezi sita ya ETH, pia man u kapumzika Siku 3 dhidi ya timu imepumzika wiki moja kabla ya game, kwahili namuunga mkono na kuwa shabiki wa ETH anafany maajabu na naamini ndani ya miaka miwili atakuwa na timu top hapa england na ulaya"
Henry hajaongea haya maneno wamemlisha tu
 
Henry hajaongea haya maneno wamemlisha tu

Aliongea baada ya mpira kuisha, tafuta sky sports comment yake utaiona au kwenye vyanzo mbali mbali vya michezo.
Mfano kama hii hapa.
IMG_2849.png
 
Bro aliongea fatilia sky
Nilishafatilia vzr hakuna Kitu Kama hicho Ni mashabiki wa man u ndio wanajifariji, hakuna video ,Kama ipo iweke hapa link

ManchesterEvening Ni sawa na The Sun ,tena nadhani Ni wamoja ,wameibeba hiyo habari wakisingiziwa CBS Amazon ndio chanzo .
 
Project ya miaka mitatu lakini kidogo isimamishwe na project ya miezi 6 na hapo hatukua na mkata umeme miro na still mnapata tabu subirini tufike miaka miwili mtaomba poo ni vipigo tu.
Nyie jamaa mna mdomo Sana, Sasa man u hii project mnayosema ina miezi 6 ,ndio hii ya kusubiria individual brilliance za Rashford ?
Ukweli unaochoma manyua hakuna project Bali pana project uchwara ..miaka miwili unayotutishia huyo Casemiro ,varane ,Eriksen ,degea watakuwa hata kukimbizana hawawezi mtarudi kule kule
Hiyo miaka miwili Project ya Arsenal ndio Kwanza itakuwa na average ya miaka 26 .
 
Project ya miaka mitatu lakini kidogo isimamishwe na project ya miezi 6 na hapo hatukua na mkata umeme miro na still mnapata tabu subirini tufike miaka miwili mtaomba poo ni vipigo tu.
Project unajenga na wazee miaka 30 unasema miaka 2 tutaomba poo tumieni akili Basi mtajikuta mnaanza kulia Tena hatuna mkabaji hatuna Beki hatuna CM hapo Casemiro varane Eriksen wanakimbizwa hoi ,tumeona Eriksen jumapili ulimi nje
 
Sasa kama mashabiki wengine wamechagua kuongea sana sisi kwanini tukae kimya raha ya mpira kupiga makelele bwana.

Kuna timu kama hazipo serious kabisa kweli uefa nayo ni kitu ya kukosa kweli.View attachment 2496330
vip, kuna mwenye nalo,, this is our honour,, no one will get this

Sisi tutayapat hayo,, ila nyinyi wot hakuna atakae kuj kuchukua..
images.jpg
 


 
Project unajenga na wazee miaka 30 unasema miaka 2 tutaomba poo tumieni akili Basi mtajikuta mnaanza kulia Tena hatuna mkabaji hatuna Beki hatuna CM hapo Casemiro varane Eriksen wanakimbizwa hoi ,tumeona Eriksen jumapili ulimi nje
Hao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.
 
Hao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.
Sasa kama sio project ,msidanganye watu mna project yenye miezi 6, sema mwakan ndo mnaanza project
Mtasajili vizuri kocha wako huyu kasajili Mpaka rangi Anthony £100m na wazee wawili
Manyua hakuna project ila Kuna project uchwara
 
Hao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.
Mtasajili vizuri kocha huyu analeta kujuana kwa kuleta waholanzi
Kama mmeshindwa kusajili vzr Hadi mnaleta ball dancer kwa £100m yule malacia average ,Eriksen akikimbizwa kidogo anatapika

Mtoe Rashford au aumie ,manyua inaenda alipo Chelsea na Liverpool
 
Mtasajili vizuri kocha huyu analeta kujuana kwa kuleta waholanzi
Kama mmeshindwa kusajili vzr Hadi mnaleta ball dancer kwa £100m yule malacia average ,Eriksen akikimbizwa kidogo anatapika

Mtoe Rashford au aumie ,manyua inaenda alipo Chelsea na Liverpool
Tutarudi tukifikisha misimu miwili kwa sasa sina ninalomdai ndugu 10han kabisa tuko sawaa.
 
Soma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.

1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
Mmehamia April tena
 
Back
Top Bottom