Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Trust the process
ETH
Kichaka chetu cha kujifichia
ze-dudu
 

Attachments

  • Screenshot_20230116-220906~2.png
    Screenshot_20230116-220906~2.png
    221.4 KB · Views: 7
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.

Cha muhimu ni timu iuzwe kabla ya dirisha kubwa na Tufuzu UEFA, itasaidia dirisha lijalo.
Kuna aina ya wachezaji hawafai kuwa backup hasa hasa mtu kama Maguire in-longrun anaweza kuleta shida ktk dressing room. Spurs inaweza kuwa timu sahihi sana kwake endapo pande zote mbili zitaelewana. Namuona akifanikiwa sana kiuchezaji wake endapo atajiunga nao.

Tayari alishapewa mamlaka makubwa sana ndani ya kikosi tokea 2020 mpaka 2022 chini ya Ole halafu ghafla anapoteza ushawishi ndani ya muda mfupi kuanzia dressing room mpaka uwanjani. Sio mtu sahihi kuendelea kuwepo kikosini kuanzia msimu ujao.
 
Kuna aina ya wachezaji hawafai kuwa backup hasa hasa mtu kama Maguire in-longrun anaweza kuleta shida ktk dressing room. Spurs inaweza kuwa timu sahihi sana kwake endapo pande zote mbili zitaelewana. Namuona akifanikiwa sana kiuchezaji wake endapo atajiunga nao.

Tayari alishapewa mamlaka makubwa sana ndani ya kikosi tokea 2020 mpaka 2022 chini ya Ole halafu ghafla anapoteza ushawishi ndani ya muda mfupi kuanzia dressing room mpaka uwanjani. Sio mtu sahihi kuendelea kuwepo kikosini kuanzia msimu ujao.
Kapoteza ushawishi wa nani exactly? Sijawahi sikia mchezaji anamlalamikia Maguire tofauti na Walioondoka Kina Pogba na Ronaldo, na ETH harembi ingekuwa ana matatizo asingeendelea kuwa Captain.

Pamoja na kuwekwa benchi,kucheza Vizuri timu ya Taifa etc jamaa wa watu yupo kimya, as long as halalamiki na Role yake ya sasa why umuondoe, Profile ya Maguire ni tofauti kabisa na Licha, Varane na Lindelof, Anacho offer Maguire hao wengine hawana, Unaweza uka make Point Lindelof hana cha Ku offer vs Varane atleast.
 
Borussia Dortmund have explored the conditions of loan deal to sign Anthony Elanga from Manchester United, it’s concrete. 🟡️ #BVB

Understand player side would be open to Bundesliga move, Everton are also interested. Decision up to Man United. #MUFC


Source: Fabrizio Romano
FB_IMG_16739015577079635.jpg
 
Ndugu zangu Kina Flano ,Chezeni kwa umakini dhidi ya palace tunataka mje kamili ,tuoneshane makali

| Casemiro and Fred have both received four yellow cards in the Premier League and another warning midweek would mean a ban for the trip to Arsenal. [@TheAthleticFC]
Palace ni mwepesi sana kwetu wala hatutatumia nguvu nyingi kumbonda.
Tunaweza wapumzisha Fred na Casemiro na bado Palace akachezea zaidi ya goli 3.
Nimepita kwenye jukwaa lenu aiseee huko watu wanamchecheto sana na mechi ya jumapili, wengine wameshaanza kutafuta sababu eti Taylor jumapili lazima aibebe United.
 
Palace ni mwepesi sana kwetu wala hatutatumia nguvu nyingi kumbonda.
Tunaweza wapumzisha Fred na Casemiro na bado Palace akachezea zaidi ya goli 3.
Nimepita kwenye jukwaa lenu aiseee huko watu wanamchecheto sana na mechi ya jumapili, wengine wameshaanza kutafuta sababu eti Taylor jumapili lazima aibebe United.
Hata Man u fans wanadai atatubeba ,but tunawangoja,
 
Bruno Fernandes on Marcus Rashford: “He’s always been unstoppable but he wasn’t getting his goals, his rewards. He’s always been like this. The thing is now the ball is going in, he’s getting his goals, he’s getting his rewards for the effort he’s been giving for the team.”

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230117_124322_599.jpg
 
Back
Top Bottom