Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Paul Merson says Manchester United should try to sign Harry Kane as soon as possible if they want to have any chance of winning the Premier League.


#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2495753
Weghost sio striker mbaya anahitaji muda, shida ni kwamba Manchester haiitaji muda inataka deliverer,inataka goalgeter.....

MANCHESTER UNITED inataka mtu a parform, naona ni muda sahihi wa HARRY KANE kutua Carrington..sababu ni striker anaekupa uhakika wa magoli kumi + kwa msimu, haijalishi majeraha yanayomuandama
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
Daah siku hizi mna mdomo nyie ole wenu mlikose tutaanguaje kicheko
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
Pumba
 
Goalkeepers Alisson (1) and Ederson (1) have more league assists than Antony this season (0).

Should Man United be looking for more from their €100m man?
 
Tunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu

ABUNUASIIIII
Asubuhi unaamkia nyumba ya jirani
 
Tunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu

ABUNUASIIIII
😄😄😄 Boss Jackwillpower waache tu hawa. Mahesabu yao ni kama zile MLM schemes za GNLD na Forever Living Products 😄😄😄
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
Kwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?
 
Back
Top Bottom