Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Hakuna marudioMechi ya marudio OT itakuwa nyepesi.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hakuna marudioMechi ya marudio OT itakuwa nyepesi.
Yapo ni home n away
kweli jamaa atapata magoli kwa tabu sana hapati service hata kidogoNipo nacheki gemu apa mpk dk hii... huyu weghost hana shida wadau shida ni winga zetu anthony na rashford wabinafsi sn hawamlishi mipira
Jamaa anajiposition vizur tu na movement zke nzur
Trh 1 mzee
Weghost sio striker mbaya anahitaji muda, shida ni kwamba Manchester haiitaji muda inataka deliverer,inataka goalgeter.....Paul Merson says Manchester United should try to sign Harry Kane as soon as possible if they want to have any chance of winning the Premier League.
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2495753
Man u watajikuta wanapiga marktime Hata ukimleta Lewandowiski
Daah siku hizi mna mdomo nyie ole wenu mlikose tutaanguaje kichekoHata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.
Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
PumbaHata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.
Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga





Asubuhi unaamkia nyumba ya jiraniTunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu
ABUNUASIIIII![]()
Hili silipingiAnthony tumepigwa
😄😄😄 Boss Jackwillpower waache tu hawa. Mahesabu yao ni kama zile MLM schemes za GNLD na Forever Living Products 😄😄😄Tunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu
ABUNUASIIIII![]()
Ulitaka baba yako ndo asajiliwe EPL? waliosajili hao watu wanajua kuliko mimi na wewe mbaya zaidi hatujatoa hata mia ili wasajiliwe hivyo unapata wapi nguvu yakuandika huo upupu?Sajili za ovyo EPL msimu huu View attachment 2495751
Kwa asiyejua mpira atakua ana maoni kama yako.Anthony tumepigwa
Kwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.
Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
We unatakajeKwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?