Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sababu hajapewa watu wake anaowataka, in real life mpira sio kama Fifa na Pes unachukua timu unacheza,

LVG alikuwa wazi kabisa anataka nini na hakupewa anachotaka so akachukua hao watoto. LVG ana UEFA ubingwa wa La liga, Bundesliga, Ligi yao uholanzi etc. katoa malegend kibao, hajaanza ukocha na UTD.

angalia wachezaji walioachwa na LVG kama Rafael, Nani na wengineo walifanya nini walivyoondoka UTD? si tu timu kubwa hazijawataka, hata hizo ndogo hawakucheza vizuri.
Mkuu hapo siwezi kukuelewa kirahisi, uwezo wa Chicharito, Rafaeli na Van Persi unaeleweka pale united. Swala la kutofanya vizuri huko walikoenda hii kwangu sio hoja.

Yule mzee pamoja na kufanya vizuri huko kwingine ila utd alifail kama hao wakina Rafael walivyofail huko kwingine. Unasema kocha hakupewa anachotaka? Wewe ulitaka apewe nini wakati alimnunua Di maria na Falcao wakiwa onfire akashindwa watumia. Yaani mimi yule mzee hapana kwa kweli nilipitia kipindi kigumu sana wakati wake.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
 
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Duh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??

Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
 
Duh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??

Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
Wewe kwa hali uliyonayo usisogee hata katika banda umiza,utapata kesi.....Arsenal hii madogo wanajua alafu wanajua tena......unapigwa mpira mtamu mpaka wapinzani wanàfurahia.....kama Conte jana amemwaga machozi hadharani ,wewe si tutakubeba kabisa
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
 
Ni bora ndio ila magoli ni mistakes za wachezaji, sasa Loris pale alikuwa nawaza nini si zawadi kabisa hiyo katoa?
Alijua Saka atapiga Vpass so concetration akaiweka upande wake wa kulia ,kustuka mpira upo kifuani akasema bora yesheeeeeee
 
Sure thing,The best thing yule beki wa city angefanya ni kumchezea rafu rashford badala yake akafanya assumption refa ataona offsude,Bruno amefanya vzr kwa kukimbia bila kuwaza offside ya Rashford (alikua anawaza filimbi tu ndo ingemzuia),It shows fighting spirit ipo juu sana.
Kwa mujibu wa Akanji, Bruno alishout kumwambia Rashid auache (asiguse mpira) mpira.
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
Rekodi za karibuni
Screenshot_20230116-094415.jpg
 
Back
Top Bottom