Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sure thing,The best thing yule beki wa city angefanya ni kumchezea rafu rashford badala yake akafanya assumption refa ataona offsude,Bruno amefanya vzr kwa kukimbia bila kuwaza offside ya Rashford (alikua anawaza filimbi tu ndo ingemzuia),It shows fighting spirit ipo juu sana.
Kwa mujibu wa Akanji, Bruno alishout kumwambia Rashid auache (asiguse mpira) mpira.
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
Rekodi za karibuni
Screenshot_20230116-094415.jpg
 
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
Weka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
 
Fred na Casemiro wana 4 yellow cards ,

Wanaenda kucheza mechi ya 19 jumatano na Palace , , means wapo kwenye risk ya kukosa mech na Arsenal

Arsenal wiki nzima hatuna mechi tumekaa paleeee tunawasubiri tukiwa fresh kabisa
 
timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwa
Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.

We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
 
Back
Top Bottom