DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,877
Wewe kwa hali uliyonayo usisogee hata katika banda umiza,utapata kesi.....Arsenal hii madogo wanajua alafu wanajua tena......unapigwa mpira mtamu mpaka wapinzani wanàfurahia.....kama Conte jana amemwaga machozi hadharani ,wewe si tutakubeba kabisaDuh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??
Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
so concetration akaiweka upande wake wa kulia ,kustuka mpira upo kifuani akasema bora yesheeeeeee
