Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Soma vizuri nilichoandika no hard feelings, nimesema neno binafsi.Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa Mara
Kama wewe hauji kule Basi wenzio wanakuja na kutupigia kelele Hadi kutuma matokeo ya man u kwenye jukwaa la Arsenal
Kwahiyo kaa kwa kutulia, Kama unaumia ,vumilia tu
means wewe na hao wote wanaokuja huko ndo wale wale tu. Eti hujagi mara kwa mara sasa hapa muda huu sijui upo wapi?











