Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha makasirikio,Kwanza humu sijagi Mara kwa Mara

Kama wewe hauji kule Basi wenzio wanakuja na kutupigia kelele Hadi kutuma matokeo ya man u kwenye jukwaa la Arsenal

Kwahiyo kaa kwa kutulia, Kama unaumia ,vumilia tu
Soma vizuri nilichoandika no hard feelings, nimesema neno binafsi.
means wewe na hao wote wanaokuja huko ndo wale wale tu. Eti hujagi mara kwa mara sasa hapa muda huu sijui upo wapi?
 
Hamna ukali wowote hapo jibu hayo maswali mawili
1. Wewe unamfahamu sana Antony kuliko ETH na jopo lake?
2. Hela ya kumsajili umeitoa wewe?
Hawa jamaa roho hua inawauma sana kuona mapato na matumizi yetu ni makubwa mara 5 zaidi kuliko wao.
Mimi nilishawaambia bajeti ya matumizi ya familia ya kizaramo inayoishi tandale kwa tumbo haiwezi kua sawa na bajeti ya mmnyamwezi anaeishi Osterbay.
Kabla ya Arsenyani kutaka kujilinganisha na sisi kwenye matumizi waanze kwanza kujilinganisha nasi kwenye mapato.
Mtoto wa kishua kutoa laki mbili kununua suruali aliyoipenda mall ni jambo la kawaida wala haoni kua ni anasa, ila mzaramo baada ya kuona hio pesa iliyotumika kununua suruali anaanza kulalamika yeye kua tumepigwa wakati kuna suruali kibao kariakoo zimemwagwa barabarani zinauzwa 15,000/-
 
Soma vizuri nilichoandika no hard feelings, nimesema neno binafsi.
means wewe na hao wote wanaokuja huko ndo wale wale tu. Eti hujagi mara kwa mara sasa hapa muda huu sijui upo wapi?
Kaa kwa kutulia , Kama wenzako wanakuja Basi huwez kutuzuia sisi kuja humu
Na kabla ya mechi waliongea watakavyo. After mechi wamepotea ,so huna mamlaka ya kutuzuia kuja humu
 
Goli mngepatia wapi ,wakati Hata hizo 2 Ni makosa ya Arsenal wenyewe

Kwenye box la Arsenal Mara 12 tu ndan ya dakika 90 ndio mliingia

Akiwepo Anthony mliingia Mara 4 tu
Sasa kama tumeweza kuingia kwenye box mara 4 na tukapata goli 2 nyinyi mliongia kwenye box mara 65 mkaishia kupata goli 3 hamjioni kua ni mazwazwa?
Man Utd hatuhitaji kuingia kwenye box mara nyingi ili tupate goli, kama wewe unajihesabia kuingia kwenye box mara nyingi ndio ushindi basi utakua umefeli.
 
Sasa kama tumeza kuingia kwenye box mara 4 na tukapata goli 2 nyinyi mliongia kwenye box mara 65 mkaishia kupata goli 3 hamjioni kua ni mazwazwa?
Man Utd hatuhitaji kuingia kwenye box mara nyingi ili tupate goli, kama wewe unajihesabia kuingia kwenye box mara nyingi ndio ushindi basi utakua umefeli.
3 points tuliongeza
 
Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside? 😂
 
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside?
Angalia takwimu utajua yupi mbovu
IMG-20230122-WA0059.jpg
 
Lisandro Martínez's game by numbers vs. Nottingham Forest:

◉ Most touches (119)
◉ Most passes (103)
◉ Most tackles made (5)
◉ Most interceptions (2)
◎ 9 x possession won
◎ 8 duels won
◎ 6 passes into final ⅓
◎ 4 clearances
◎ 3 aerial duels won

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230126_122805_136.jpg
 
The Glazer family are highly likely to complete a "FULL" sale for Manchester United Football Club - the next three to four weeks will see the sale intensify!

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230126_122759_998.jpg
 
Back
Top Bottom