Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goli 5 zingetokea wapi wakati kwenye box la arsenal mligusa mpira mara 12...ilionyesha hata kwenye box mlikuwa hamfiki
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside? 😂
 
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside?
Angalia takwimu utajua yupi mbovu
IMG-20230122-WA0059.jpg
 
Lisandro Martínez's game by numbers vs. Nottingham Forest:

◉ Most touches (119)
◉ Most passes (103)
◉ Most tackles made (5)
◉ Most interceptions (2)
◎ 9 x possession won
◎ 8 duels won
◎ 6 passes into final ⅓
◎ 4 clearances
◎ 3 aerial duels won

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230126_122805_136.jpg
 
The Glazer family are highly likely to complete a "FULL" sale for Manchester United Football Club - the next three to four weeks will see the sale intensify!

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230126_122759_998.jpg
 
Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal

7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.

United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.

View attachment 2486472
Ww Ni mropokaji
 
Back
Top Bottom