Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulale sasa
20230119_043144.jpg
 
Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Bissaka anaweza kufanya Kazi kubwa ila kwenye kufanya maaamuzi ya mwisho iwe cross ,shuti au pasi sahihi lazima ayumbe hilo karibia kila mechi ndio maana hana rekodi nzuri za assist kama Mabeki wenzake..
 
Antony anakwenda kuwa Sancho mwengine kama akiendelea hivi hivi.Mechi jana japo Man U alcheza soka bovu ila alitengeneza nafasi nyingi utulivu ulikosekana tu mbele ya lango..
 
Wakuu still tuko vzr,,,, hii point Moja isiwahuzunishe ,,,,,,,

Game ya arsenal tunamkosa Casemiro,,, bad luck!

MacTominay akiamka vzr anaweza kukichafua vzr tu, bahati kwetu ana uzoefu na mechi kubwa Ni huu msimu tu kidogo amekosa game time, Kama mnakumbuka mechi za mwanzon ondoa zile mbili Brighton na Brentford, zilizofuata alikichafua sana huku Casemiro akiingia kwenye mfumo taratibu !

Kwa namna nyingine ETh alikosea kuendelea kumriski jamaa mpaka dakika zote zile,,,,

All in all , tukienda na mahesabu vzr arsenal tunawagongea pale pale seblen kwao !

#GGMU
 
Back
Top Bottom