Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi naamini akitulia Antony atakuwa bora sana japo ni mchezaji mwenye bahati kupata nafasi mara kwa mara kwenye kikosi wakati wapo wengi wanaposajiliwa wanasugua benchi na wakizingua kidogo nafasi zao zinakuwa hatarini ila yeye amepata bahati sana ..
Anacheza kama mpira wa mitaani hayupo makini kabs
 
Mashabiki wa city wanavyochanganyikiwa.


"..Haaland is a one trick pony a busted flush hes been found out title between man u and arsenal money won't buy you the league this the ten hag is as genius"

Anaonhea shabiki mmoja
 
Mechi ya jana ni kama man u walikuwa wanatafuta draw sabb ya mechi ya j2
Hizi approach mda mwingine sizielewagi
Maana unaweza suluhu na cry na j2 ukapigwa vile vile ukawa umeambulia pt 1 kwenye mechi 2
Si afadhali ukomae na cry upate pt 3
Japo asernal ni mchumba so atazioata kirahisi. Tushukuru morale ya wachezaji.

Jana nilitegemea baada ya yellow ya casemiro wangeongeza BAO. Psychologia ya kocha kumuacha casemiro na kumuongiza Fred baadae naomba miongozo
 
Ten Hag on Wout Weghorst’s debut: ā€œLess training, no games, a couple of days here but he did quite well in all elements.ā€

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230119_105203_245.jpg
 
Back
Top Bottom