verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Tulale sasa
Toba!!! Uliona wapi Saka akikabwa na mtu mmoja?Jamaa anaupiga mwingi huyu akabidhiwe saka atamdhibiti vizuri tu
Bissaka anaweza kufanya Kazi kubwa ila kwenye kufanya maaamuzi ya mwisho iwe cross ,shuti au pasi sahihi lazima ayumbe hilo karibia kila mechi ndio maana hana rekodi nzuri za assist kama Mabeki wenzake..Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Huyo jamaa ana mizaha sana.Toba!!! Uliona wapi Saka akikabwa na mtu mmoja?

Weweeeee chama kubwa hili 😃Kijana unashabikia manyumbu umepotea![]()
Antony anakwenda kuwa Sancho mwengine kama akiendelea hivi hivi.Mechi jana japo Man U alcheza soka bovu ila alitengeneza nafasi nyingi utulivu ulikosekana tu mbele ya lango..
Haha huyo huyo wa spin 🤣Anthony yupi tena? Elanga au yule wa 360 spin?![]()
Aisee bora sancho kuliko huyu jamaaAntony anakwenda kuwa Sancho mwengine kama akiendelea hivi hivi.Mechi jana japo Man U alcheza soka bovu ila alitengeneza nafasi nyingi utulivu ulikosekana tu mbele ya lango..
Hana maaamuzi sahihi akiamua kupiga hata chenga za hatari na pressing nzuri hana wakati timu inashambulia na mabeki wangekuwa wakimkaba kirahisi sana anazidiwa mpaka na Antonia Valencia enzi zake japo alikuwa na chenga Moja na kutegemea mbio ila impact yake ilikuwa kubwa..Pale tumepigwa.
Mimi naamini akitulia Antony atakuwa bora sana japo ni mchezaji mwenye bahati kupata nafasi mara kwa mara kwenye kikosi wakati wapo wengi wanaposajiliwa wanasugua benchi na wakizingua kidogo nafasi zao zinakuwa hatarini ila yeye amepata bahati sana ..Aisee bora sancho kuliko huyu jamaa
Anacheza kama mpira wa mitaani hayupo makini kabsMimi naamini akitulia Antony atakuwa bora sana japo ni mchezaji mwenye bahati kupata nafasi mara kwa mara kwenye kikosi wakati wapo wengi wanaposajiliwa wanasugua benchi na wakizingua kidogo nafasi zao zinakuwa hatarini ila yeye amepata bahati sana ..