Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi imeisha 3-2 mtu anakuambia manchester mbovu ivi huyu ana akili kweli....
Kwa ile mechi overall lazima man u mfurahie maana ilikuwa mpigwe nyingi,

Mmeingia box la Arsenal Mara 12 tu, goli 1 mmepata nje ya 18 kwa mistake ya Partey , goli la 2 mmepata kwa mistake ya Ramsdale

Saka peke yake kaingia box la man u Mara 13

Arsenal nzima waliingia box lenu mara 63 (nyingi zaidi kwenye EPL msimu huu)

Kuhusu kupelekewa moto, muda mwingi mlipelekewa

Hivo matokeo 3-2 ni mazuri kwenu ,
 
Hivi na hapa mlipigwa sh ngapi vile?😂
IMG-20230124-WA0000.jpg
 
Kwa ile mechi overall lazima man u mfurahie maana ilikuwa mpigwe nyingi,

Mmeingia box la Arsenal Mara 12 tu, goli 1 mmepata nje ya 18 kwa mistake ya Partey , goli la 2 mmepata kwa mistake ya Ramsdale

Saka peke yake kaingia box la man u Mara 13

Arsenal nzima waliingia box lenu mara 63 (nyingi zaidi kwenye EPL msimu huu)

Kuhusu kupelekewa moto, muda mwingi mlipelekewa

Hivo matokeo 3-2 ni mazuri kwenu ,
Hayo ya kawaida sana kila tukutanapo na aseno sioni jipya siikumbuki tu ile game ila sanchez alikosa goli yeye na de gea tena baada ya piga nikupige mara tatu
 
Samahani mkuu mpira ni burudani tu, sio busara kuwatusi wazazi wetu kwa mambo madogomadogo kama haya.
Mashabiki wa Man United tunajulikana dunia nzima kua ndio mashabiki wastaarabu na tunaojiheshimu kuliko mashabiki wa timu yoyote hapa ulimwenguni, haya mambo madogomadogo yasikufanye ukaonekana kama shabiki wa Arsenyani.
Kwani umekosea team nyngne ya kutolea mfano mpka arsenal ndugu
 
Official: Michael Oliver will take charge of #mufc's first-leg Carabao Cup semi-final fixture vs Nottingham Forest.

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230124_164630_974.jpg
 
Next: [emoji739] Nottingham F. (Jan 25)

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230124_164617_689.jpg
 
Erik ten Hag confirms that Jadon Sancho, Anthony Martial and Diogo Dalot will miss the first leg of the Carabao Cup semi-final against Nottingham Forest.

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
 
Back
Top Bottom