Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,386
- 10,958
Duh! Mbona maneno makali wazee?
Timu ilikosa fluidity kwani ETH alibadili mfumo kumuweka namba 27. Mpaka anatoka, timu ikawa haichezi vile inavyokuaga.
Kukosekana kwa Casemiro ni pigo, ila McFred watafanya yao, siyo mara ya kwanza. Acha hao Goons washangilie kukosekana kwa Casemiro; na wajiamini hivyo hivyo.
Tukutane Emirates Jumapili
GGMU
Timu ilikosa fluidity kwani ETH alibadili mfumo kumuweka namba 27. Mpaka anatoka, timu ikawa haichezi vile inavyokuaga.
Kukosekana kwa Casemiro ni pigo, ila McFred watafanya yao, siyo mara ya kwanza. Acha hao Goons washangilie kukosekana kwa Casemiro; na wajiamini hivyo hivyo.
Tukutane Emirates Jumapili
GGMU





