Wakuu still tuko vzr,,,, hii point Moja isiwahuzunishe ,,,,,,,
Game ya arsenal tunamkosa Casemiro,,, bad luck!
MacTominay akiamka vzr anaweza kukichafua vzr tu, bahati kwetu ana uzoefu na mechi kubwa Ni huu msimu tu kidogo amekosa game time, Kama mnakumbuka mechi za mwanzon ondoa zile mbili Brighton na Brentford, zilizofuata alikichafua sana huku Casemiro akiingia kwenye mfumo taratibu !
Kwa namna nyingine ETh alikosea kuendelea kumriski jamaa mpaka dakika zote zile,,,,
All in all , tukienda na mahesabu vzr arsenal tunawagongea pale pale seblen kwao !
#GGMU