Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh! Mbona maneno makali wazee?
Timu ilikosa fluidity kwani ETH alibadili mfumo kumuweka namba 27. Mpaka anatoka, timu ikawa haichezi vile inavyokuaga.

Kukosekana kwa Casemiro ni pigo, ila McFred watafanya yao, siyo mara ya kwanza. Acha hao Goons washangilie kukosekana kwa Casemiro; na wajiamini hivyo hivyo.

Tukutane Emirates Jumapili
GGMU
 


#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230119_011958_424.jpg
 
Sema rashford ndo katunyima point 3
Sio Rashidi peke yake hata 10 hag amechangia kwa kiasi kikubwa kukosa hizo points 3, baada tu ya Casemero kulimwa kadi ya njano wachezaji pamoja na mashabiki wote tulikua kama vile tumepigwa shoti, morali ikawa imepungua mpaka kupelekea palace kusawazisha.
Ten Hag na Chidi boy leo akili zao wote zilikua mbovu tu.
Hasira nilizonazo angetokea mtu yoyote aliekaa karibu na 10 Hag akamtia konzi moja la maana kwenye ile solar panel yake huenda kidogo nafsi yangu ingepata afueni.
 
Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Bissaka anaweza kufanya Kazi kubwa ila kwenye kufanya maaamuzi ya mwisho iwe cross ,shuti au pasi sahihi lazima ayumbe hilo karibia kila mechi ndio maana hana rekodi nzuri za assist kama Mabeki wenzake..
 
Back
Top Bottom