Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?AWB ametuokoa tupate point 1.
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.





