Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

LVG ni bonge la kocha, ila kufanya kazi na woodward ni kitu kigumu sana, ameprove sehemu nyingi tu kuwa yeye ni top coa
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
 
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Waliowauza wachezaji wazuri time ya kina rvg, hovyo sana
 
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
sababu hajapewa watu wake anaowataka, in real life mpira sio kama Fifa na Pes unachukua timu unacheza,

LVG alikuwa wazi kabisa anataka nini na hakupewa anachotaka so akachukua hao watoto. LVG ana UEFA ubingwa wa La liga, Bundesliga, Ligi yao uholanzi etc. katoa malegend kibao, hajaanza ukocha na UTD.

angalia wachezaji walioachwa na LVG kama Rafael, Nani na wengineo walifanya nini walivyoondoka UTD? si tu timu kubwa hazijawataka, hata hizo ndogo hawakucheza vizuri.
 
Manchester United Women are on fire right now

Getting under way in style

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230115_205109_059.jpg
 
Yaani huyu Greenwood tumepoteza mashine ya mabao yule dogo akilitizama goli ni either kipa adake au kamba. Ni mara chache sana kipa akadaka shuti lake au kupaiza.
Sema kesi yake inasikilizwa, ukiangalia na umri wake ni kuombea kama atakutwa na hatia apewe nyundo chache akitoka atacheza tu tena, ila wenzetu wapo makini sana kwenye sheria, ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom