Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.
Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.
Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.
Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
