Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sisi wengine mchezaji akicheza ovyo kwa mujibu wa macho yetu ni mwendo wa kuponda.

Next match akicheza vyema tunasifia.
Mambi ya takwimu za defence, sijui mikimbio, shape na mengineo tunawaachia wengine wenye ujuzi.

Sijishughulishi sana kuangalia mpira kwa jicho la mbinu, majukumu na ufundi na sijafikiria kutake time kuyafuatilia na kujifunza.

Najiamini kwa sababu nimejaaliwa jicho kali na uzoefu wa kuangalia hii mipira tokea nikiwa kijana mdogo wa miaka 7 unanisaidia

Yuko wapi tavares wa arsenal,
Nilimuona mechi mbili tu nikagundua huyu si mchezaji atakayewapeleka mbele arsenal.

Bwana yule akaja na hoja zake sijui ufundi, taktiki, presha ya ligi

nikamuacha, leo wanatamba na zinchenko.

Mpira si rocket science
Tuuze anthony pale tumepigwa,sehemu ya kutoa pasi yeye anapiga danadana
 
This your legend
IMG_20230102_111600.jpg
 
Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.

Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.

Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.

Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.

Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.

Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.

Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.


Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.


Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
 
Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.

Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.

Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.

Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.

Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.

Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.

Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.


Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.


Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Kama tunapata short term striker january kwa mkopo, dirisha kubwa la Usajili Harry Kane ni rahisi kupatikana.
 
Kivip! Mkuu
Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.

Timu iliokuwa inamtaka Kane ni City na wameshamnunua Haaland, Liverpool wana Nunez, so inabaki Sisi na Chelsea labda na timu za Nje ya Uingereza.

Kama tupo serious anapatikana.
 
Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.

Timu iliokuwa inamtaka Kane ni City na wameshamnunua Haaland, Liverpool wana Nunez, so inabaki Sisi na Chelsea labda na timu za Nje ya Uingereza.

Kama tupo serious anapatikana.
Sasa mkuu kane atakubali kweli kuja kwetu!,, maana hawa wachezaji ambao bado wapo kwenye fomu nzuri. Na wana uhaba wa vikombe maranyingi huwa wana option za kwenda vilabu wavitakavyo.

Vyenye uwezo wa kubeba kombe la ligi,uefa e.tc ili kutengeneza rekodi zao vizuri katika maisha yao ya soka, nasio mda wote wanatanguliza sana pesa mbele. Unazungumziaje kuhusu hili chief.
 
Sasa mkuu kane atakubali kweli kuja kwetu!,, maana hawa wachezaji ambao bado wapo kwenye fomu nzuri. Na wana uhaba wa vikombe maranyingi huwa wana option za kwenda vilabu wavitakavyo.

Vyenye uwezo wa kubeba kombe la ligi,uefa e.tc ili kutengeneza rekodi zao vizuri katika maisha yao ya soka, nasio mda wote wanatanguliza sana pesa mbele. Unazungumziaje kuhusu hili chief.
Bayern ni option, wapi kwengine wana uhitaji wa striker? Madrid wana Benzema, Barca wana Lewandoski, Juve Vlahovic etc
 
Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.

Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.

Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.

Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.

Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.

Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.

Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.


Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.


Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Jamaa unamkubali Patrick kinoma
 
Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?

Yangu macho
Umeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?

Kama una uzoefu hiyo kauli usingeitoa.
Fuatilia toka enzi za Fergi na Wenger, Arsenal ndio mnadominate mpira kwa maana ya ball possession.
Ila matokeo huwa yanakuwa tofauti.

Fuatilia. Utajifunza kitu.
 
Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.

Timu iliokuwa inamtaka Kane ni City na wameshamnunua Haaland, Liverpool wana Nunez, so inabaki Sisi na Chelsea labda na timu za Nje ya Uingereza.

Kama tupo serious anapatikana.
Bei za waingereza pasua kichwa.

Labda tuwe na shida sana na tumekosa option.
 
Umeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?

Kama una uzoefu hiyo kauli usingeitoa.
Fuatilia toka enzi za Fergi na Wenger, Arsenal ndio mnadominate mpira kwa maana ya ball possession.
Ila matokeo huwa yanakuwa tofauti.

Fuatilia. Utajifunza kitu.
Vipi after Fergie ,Wenger era?
 
Back
Top Bottom