King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,085
- 5,315
Kivip! MkuuKama tunapata short term striker january kwa mkopo, dirisha kubwa la Usajili Harry Kane ni rahisi kupatikana
Kivip! MkuuKama tunapata short term striker january kwa mkopo, dirisha kubwa la Usajili Harry Kane ni rahisi kupatikana
Sure pengine short term anaweza kuwa Ivan Toney wa Brentford au Alexander Mitrovic wa Fullham.Kama tunapata short term striker january kwa mkopo, dirisha kubwa la Usajili Harry Kane ni rahisi kupatikana.
Kuhusu kane?Kivip! Mkuu
Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.Kivip! Mkuu
Sasa mkuu kane atakubali kweli kuja kwetu!,, maana hawa wachezaji ambao bado wapo kwenye fomu nzuri. Na wana uhaba wa vikombe maranyingi huwa wana option za kwenda vilabu wavitakavyo.Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.
Timu iliokuwa inamtaka Kane ni City na wameshamnunua Haaland, Liverpool wana Nunez, so inabaki Sisi na Chelsea labda na timu za Nje ya Uingereza.
Kama tupo serious anapatikana.
Bayern ni option, wapi kwengine wana uhitaji wa striker? Madrid wana Benzema, Barca wana Lewandoski, Juve Vlahovic etcSasa mkuu kane atakubali kweli kuja kwetu!,, maana hawa wachezaji ambao bado wapo kwenye fomu nzuri. Na wana uhaba wa vikombe maranyingi huwa wana option za kwenda vilabu wavitakavyo.
Vyenye uwezo wa kubeba kombe la ligi,uefa e.tc ili kutengeneza rekodi zao vizuri katika maisha yao ya soka, nasio mda wote wanatanguliza sana pesa mbele. Unazungumziaje kuhusu hili chief.
Mkuu time will tell, kama kane atakuja kwetu.Bayern ni option, wapi kwengine wana uhitaji wa striker? Madrid wana Benzema, Barca wana Lewandoski, Juve Vlahovic etc
Jamaa unamkubali Patrick kinomaTimu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.
Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.
Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.
Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.
Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.
Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.
Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.
Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.
Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Umeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?
Yangu macho
Bei za waingereza pasua kichwa.Anaingia mwaka wake wa Mwisho wa mkataba, asipouzwa anaondoka bure, so ni Either aongeze mkataba ama auzwe dirisha lijalo.
Timu iliokuwa inamtaka Kane ni City na wameshamnunua Haaland, Liverpool wana Nunez, so inabaki Sisi na Chelsea labda na timu za Nje ya Uingereza.
Kama tupo serious anapatikana.
Ngoja Tuone ETH mwenyewe kama anamtaka ila Kane hawezi uzwa Bei zaidi ya Antony akiwa na mwaka mmoja umebakia.Bei za waingereza pasua kichwa.
Labda tuwe na shida sana na tumekosa option.
Vipi after Fergie ,Wenger era?Umeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?
Kama una uzoefu hiyo kauli usingeitoa.
Fuatilia toka enzi za Fergi na Wenger, Arsenal ndio mnadominate mpira kwa maana ya ball possession.
Ila matokeo huwa yanakuwa tofauti.
Fuatilia. Utajifunza kitu.
Trendi ni ileile, Mechi ambazo Man U ameshinda, nyie huwa mnadominate ball possession.Vipi after Fergie ,Wenger era?
SanaJamaa unamkubali Patrick kinoma
Mimi sioni kama Harry Kane anatufaa kwa sasa.Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.
Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.
Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.
Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.
Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.
Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.
Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.
Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.
Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Tuuze anthony pale tumepigwa,sehemu ya kutoa pasi yeye anapiga danadana![]()


Nilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony.