Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

20230122_214140.jpg
 
Jinsi tulivyoumia leo kwangu ni ishara Ten Hag anafanya kazi kubwa sana. Nikikumbuka miezi 6 tulipokuwa na hapa tulipo. Nani angeweza kufikiri hata tukifungwa mechi 3 mfululizo bado tupo top 4?

Binafsi I'm very grateful so far, Arsenal, City na L'pool hizi ni timu ambazo benchi la ufundi lipo kwa zaidi ya misimu mitatu. Hatuwezi kujilinganisha nao kwa sasa, benchi letu la ufundi ndio kwanza wana miezi 6 tu.

Naona mwanga ndani ya msimu ujao. Msimu huu top 4 na kikombe kimoja yatakuwa mafaniko makubwa sana na mahala tulipotoka msimu mmoja nyuma. Japokuwa nilianza kujipa moyo wa kufanya kitu ila Arsenal wapo serious msimu huu.
 
Jinsi tulivyoumia leo kwangu ni ishara Ten Hag anafanya kazi kubwa sana. Nikikumbuka miezi 6 tulipokuwa na hapa tulipo. Nani angeweza kufikiri hata tukifungwa mechi 3 mfululizo bado tupo top 4?

Binafsi I'm very grateful so far, Arsenal, City na L'pool hizi ni timu ambazo benchi la ufundi lipo kwa zaidi ya misimu mitatu. Hatuwezi kujilinganisha nao kwa sasa, benchi letu la ufundi ndio kwanza wana miezi 6 tu.

Naona mwanga ndani ya msimu ujao. Msimu huu top 4 na kikombe kimoja yatakuwa mafaniko makubwa sana na mahala tulipotoka msimu mmoja nyuma. Japokuwa nilianza kujipa moyo wa kufanya kitu ila Arsenal wapo serious msimu huu.
Mimi ndo maana nimesema siwezi kumlaumu kocha wala mchezeaji

Maana msimu huu kigogo mwenye ajachapika kwetu ni Chelsea tu wote hao tumewalamba.

Kwangu naona ten hag anaonyesha mwanga maana ndo msimu wake wa kwanza tu ila timu ipo vizuri tu.
 
Mimi ndo maana nimesema siwezi kumlaumu kocha wala mchezeaji

Maana msimu huu kigogo mwenye ajachapika kwetu ni Chelsea tu wote hao tumewalamba.

Kwangu naona ten hag anaonyesha mwanga maana ndo msimu wake wa kwanza tu ila timu ipo vizuri tu.
Kabisa Jombaa. Tuwe na shukrani, Ten Hag kafanya kazi kubwa mno mpaka sasa. Miezi 6 iliyopita hakuna hata mtu mmoja aliyebashiri United tunaweza kushindania kumaliza nafasi nne za juu. Plus chance of winning something (Carabao).
 
Tujipange kwa mechi zijazo. Kuteleza sio kuanguka. Naamini kocha atajipanga vizuri na kurekebisha makosa yake.

Win or loose...We are United!!
GGMU
Pia tukumbuke mzunguko wa kwanza tuliwapiga, tupunguze makasiriko yasiyo na maana na wao walitaka kushinda.
hivyo basi tuwe na shukrani hata kwa kile tulichokipata mwanzo.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Back
Top Bottom