Kabisa Jombaa. Tuwe na shukrani, Ten Hag kafanya kazi kubwa mno mpaka sasa. Miezi 6 iliyopita hakuna hata mtu mmoja aliyebashiri United tunaweza kushindania kumaliza nafasi nne za juu. Plus chance of winning something (Carabao).Mimi ndo maana nimesema siwezi kumlaumu kocha wala mchezeaji
Maana msimu huu kigogo mwenye ajachapika kwetu ni Chelsea tu wote hao tumewalamba.
Kwangu naona ten hag anaonyesha mwanga maana ndo msimu wake wa kwanza tu ila timu ipo vizuri tu.