Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Binafsi nilipomuona McTominay moyo umetulia kabisa, lazima wakae hawa leo
Binafsi nilipomuona McTominay moyo umetulia kabisa, lazima wakae hawa leo
Mhuni sana huyu, baadae ataingia mwamba Fred.Binafsi nilipomuona McTominay moyo umetulia kabisa, lazima wakae hawa leo
Kwann watu 9 mkuu au weghost humuamini..???Weghost ndani
Tayari wameshaanza na watu 9 uwanjan
Una imani na nani?
Ulitaka akangeje embu weka kikosi chako tuone
Ila Kocha muda mwingine,mmh, sina imani na kikosi. Ila kocha ndio anawajua wachezaji wake.
Sio 9 ni 8 nilimsahau antony
Tominay mbona yupo fresh tu,,, game za Kwanza Kwanza kipindi Casemiro anaadapt jamaa alikichafua Sana tu ,,,, Sema InAtegemea kaamkaje,,,,
#JIJIEMYU

Una akili kubwa sana ya mpira mkuu...Arse8 hapo kati huwa wazuri sana. Tulitakiwa mtu kama Fred awakamate.Sema nilitaman Kati tuwe solid zaidi angeanza tominay na Fred, then ericksen baadae,,,, wacha tuone
Anthony ule upande anasaidia Sana timu ikiwa imezidiwa, sio mvivu atapambana
Rashyy akomae aache uchoyo, pakutoa pasi anafosi kufunga ili sijui ili aweke rekodi !!!
Beki imesimama vzr, shaw anasaidia Sana kupandisha mashambulizi ule
upande!
AWB recently kiwango kimepanda, anakaba kwa akili kubwa, hapanic ovyo!
Ngoja tuone mkuu itakavyokuwa,,,, !!!!Una akili kubwa sana ya mpira mkuu...Arse8 hapo kati huwa wazuri sana. Tulitakiwa mtu kama Fred awakamate.