samson contrado
New Member
- Jan 20, 2023
- 4
- 3
Wataongea Sana hawa wa2
Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.Kwangu mimi kufungwa na ARSENAL ni zaidi ya fedheha.
Hongereni GUNNERS kwa ushindi.
Mrudi tena kutuletea kelele zenu timu huna kelele kibaaaao unategemea mpira wa bahati na sibu kama bikoAcha arsenal washinde tu kocha Ni fala sana


Yaan ten hag Kanikera sana na hilo bichwa lake Kama fuvu la dagaa.Kipara ndezi ana kiburi kama haoni
I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.
Bila kiungo mkabaji mzuri kama Casemiro Eriksen hufanya makosa ya kusababisha magoli every game, goli la Saka, na goli hili la tatu.
Eriksen anafaa kucheza timu ambayo possession ni kubwa na timu imedicatate mchezo.
Niliangalia mechi ya Mancity alipotoka Bruno akarudi katikati tulifanya counter attack nyingi sana.
Leo pia Bruno kwenda pembeni kunatupunguzia kabisa Counter attack Threat.
Huyu hatakiwi hata kuanza anatakiwa aingie zikiwa zimebaki dk 10Weghorst ni mchezaji wa dakika 45 mpaka 60 tu kama akianza. Zaidi ya hapo hana msaada wowote
Saka hakabiki kirahisi kwa beki1 ni exeptinal player mtashikan mashati bureHivi ten hag c amtoe huyo Shaw, amekua uchocholo Sana wa arsenal, anamwacha saka anadribble atakavyo mpaka kwenye box.
Kumtoa Anthony na Eriksen ilitakuwa kuwa kitu cha kwanza kabisa.I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?
Ilikuwa hivyo kwa Sir Alex huyu ten haag hamna kitu, polen kwa kupoteza mchezo wa leoHii game angekuwepo casemiro tungeongea mengine hapa...
Arsenal.. mnapiga kelele sanaa ila trust me hii ndo gemu yenu ya mwisho kushinda kwa ETH...
nyie ni vibonde wetu na mtaendelea kua hivyo
😂ndo dalili za ubingwa hizoVar imewabeba
Acha bhangi, uliangalia mechi ya kwanza pale old Trafford alivyobanwa na malacia.Saka hakabiki kirahisi kwa beki1 ni exeptinal player mtashikan mashati bure
Tulitaka kuweka heshima sawaThey deserve the win
ukweli usemwe hata kama unauma
Dk 30 za Kwanza Shaw alifanya kaz nzur Sana , badae akalambwa njano ikampunguzia speed mana Style ya uchezaji wa Saka kukulambisha umeme ni kugusa tuu... Ila Saka hatakiwi kumruhusu aingie ndani ya box , ni constant threatSio mbaya japo nimeumia sana, ila ukabaji wa shaw asee siukubali kabisa. Plan haijafanya kazi