Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwangu mimi kufungwa na ARSENAL ni zaidi ya fedheha.

Hongereni GUNNERS kwa ushindi.
Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.

Bila kiungo mkabaji mzuri kama Casemiro Eriksen hufanya makosa ya kusababisha magoli every game, goli la Saka, na goli hili la tatu.

Eriksen anafaa kucheza timu ambayo possession ni kubwa na timu imedicatate mchezo.

Niliangalia mechi ya Mancity alipotoka Bruno akarudi katikati tulifanya counter attack nyingi sana.

Leo pia Bruno kwenda pembeni kunatupunguzia kabisa Counter attack Threat.
 
1. We pulled them into our penalty area for setting up counter attacks.
2. Arsenal knew about the plan, they kept going into the penalty area and never wanted to play passes else the balls are captured by Man Utd, they kept the balls close to themselves and created penalty threat
3. we didn't have options.
4. Ten had should have abandoned the plan after first half.
 
20221022_201927.jpg
 
Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.

Bila kiungo mkabaji mzuri kama Casemiro Eriksen hufanya makosa ya kusababisha magoli every game, goli la Saka, na goli hili la tatu.

Eriksen anafaa kucheza timu ambayo possession ni kubwa na timu imedicatate mchezo.

Niliangalia mechi ya Mancity alipotoka Bruno akarudi katikati tulifanya counter attack nyingi sana.

Leo pia Bruno kwenda pembeni kunatupunguzia kabisa Counter attack Threat.
I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?
 
I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?
Kumtoa Anthony na Eriksen ilitakuwa kuwa kitu cha kwanza kabisa.

Tulionekana ni second team kwa Arsenal na tukifanya makosa obvious kwenye eneo letu.

Sema hata Shaw alikuwa ameshindwa kabisa kudhibiti Saka ilikuwa ni kama eneo hatari zaidi kwenye upande wetu.
 
Sio mbaya japo nimeumia sana, ila ukabaji wa shaw asee siukubali kabisa. Plan haijafanya kazi
Dk 30 za Kwanza Shaw alifanya kaz nzur Sana , badae akalambwa njano ikampunguzia speed mana Style ya uchezaji wa Saka kukulambisha umeme ni kugusa tuu... Ila Saka hatakiwi kumruhusu aingie ndani ya box , ni constant threat
 
Back
Top Bottom