Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,531
I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.
Bila kiungo mkabaji mzuri kama Casemiro Eriksen hufanya makosa ya kusababisha magoli every game, goli la Saka, na goli hili la tatu.
Eriksen anafaa kucheza timu ambayo possession ni kubwa na timu imedicatate mchezo.
Niliangalia mechi ya Mancity alipotoka Bruno akarudi katikati tulifanya counter attack nyingi sana.
Leo pia Bruno kwenda pembeni kunatupunguzia kabisa Counter attack Threat.
