Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I agree, Ndo angemtoa yeye sasa kwa nini akamtoa Antony?
Kumtoa Anthony na Eriksen ilitakuwa kuwa kitu cha kwanza kabisa.

Tulionekana ni second team kwa Arsenal na tukifanya makosa obvious kwenye eneo letu.

Sema hata Shaw alikuwa ameshindwa kabisa kudhibiti Saka ilikuwa ni kama eneo hatari zaidi kwenye upande wetu.
 
Sio mbaya japo nimeumia sana, ila ukabaji wa shaw asee siukubali kabisa. Plan haijafanya kazi
Dk 30 za Kwanza Shaw alifanya kaz nzur Sana , badae akalambwa njano ikampunguzia speed mana Style ya uchezaji wa Saka kukulambisha umeme ni kugusa tuu... Ila Saka hatakiwi kumruhusu aingie ndani ya box , ni constant threat
 
tuseme ukweli....timu umecheza vizuri sana spirit ilikuwa juu sana kwenye mechi ya leo... Makosa yapo eno sehemu ya mchezo ila timu imepambana
Kwa sasa napokea matokeo yeyote kwa kisingizio Tupo kwenye mchakato wa kujenga timu ila ujengaji huo uendane na maamuzi sahihi.

Kwa mfano

Nimeona tetesi nyingi sana zinazomuhusu maguire na scott mctominay kutakiwa na vilabu tofauti hapo england.

Now klabu haijaonyesha nia ya kukubaliana na ofa hizo, kwa kuwa tupo kwenye dirisha dogo nasimama na uamuzi wa klabu

But ikitokezea msimu ujao vikajitojeza vilabu vinavyohitaji huduma ya scott au maguire tukaweka tena ngumu.

Kwa mara ya kwanza nitapingana na erik.

Sifurahi pindi ninapomuona scott ndani ya uwanja hata kwa sekunde.

Tunahitaji qualities na energy.
Scott anakupa kimoja tu.
Fred anakupa kimoja.

Thomas partey anakupa vyote
 
Kwa sasa napokea matokeo yeyote kwa kisingizio Tupo kwenye mchakato wa kujenga timu ila ujengaji huo uendane na maamuzi sahihi.

Kwa mfano

Nimeona tetesi nyingi sana zinazomuhusu maguire na scott mctominay kutakiwa na vilabu tofauti hapo england.

Now klabu haijaonyesha nia ya kukubaliana na ofa hizo, kwa kuwa tupo kwenye dirisha dogo nasimama na uamuzi wa klabu

But ikitokezea msimu ujao vikajitojeza vilabu vinavyohitaji huduma ya scott au maguire tukaweka tena ngumu.

Kwa mara ya kwanza nitapingana na erik.

Sifurahi pindi ninapomuona scott ndani ya uwanja hata kwa sekunde.

Tunahitaji qualities na energy.
Scott anakupa kimoja tu.
Fred anakupa kimoja.

Thomas partey anakupa vyote
kuna mwamba aliuliza kwamba scott ana 26 yrs now anaelekea wap kisoka....
kuna professa akaja kusema anaelekea burnely semaa man u wanamchelewesha😂😂😂😂😆
 
Lastly, Two games a week has created a lot of fatigue in the team. Unfortunate Ten hag has refused to prioritize.
 
It is all good RedArmy!
Not the results that we wanted, but we should trust the process.
Goons are a bit stable than us. So far so good. I believe ETH's target is at least a top 3 finish.
So, we are still on course.

GGMU
 
Back
Top Bottom