Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tangu dk 75-80 ulazima wa sub ulionekana kabisa ila kocha akaleta kiburi cha kiboya, kule mbele weghorst alikuwa anafanya nini? Garnacho ilishindikana nini kuingizwa ili asaidie kukokota mpira huko nyuma kuupeleka mbele ili halo Antony katoka??
Weghorst ni mchezaji wa dakika 45 mpaka 60 tu kama akianza. Zaidi ya hapo hana msaada wowote
 
Kwangu mimi kufungwa na ARSENAL ni zaidi ya fedheha.

Hongereni GUNNERS kwa ushindi.
Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.

Bila kiungo mkabaji mzuri kama Casemiro Eriksen hufanya makosa ya kusababisha magoli every game, goli la Saka, na goli hili la tatu.

Eriksen anafaa kucheza timu ambayo possession ni kubwa na timu imedicatate mchezo.

Niliangalia mechi ya Mancity alipotoka Bruno akarudi katikati tulifanya counter attack nyingi sana.

Leo pia Bruno kwenda pembeni kunatupunguzia kabisa Counter attack Threat.
 
1. We pulled them into our penalty area for setting up counter attacks.
2. Arsenal knew about the plan, they kept going into the penalty area and never wanted to play passes else the balls are captured by Man Utd, they kept the balls close to themselves and created penalty threat
3. we didn't have options.
4. Ten had should have abandoned the plan after first half.
 
20221022_201927.jpg
 
Back
Top Bottom