D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Tumeadhibiwa kwa sababu ya qualities.
Tangu dk 75-80 ulazima wa sub ulionekana kabisa ila kocha akaleta kiburi cha kiboya, kule mbele weghorst alikuwa anafanya nini? Garnacho ilishindikana nini kuingizwa ili asaidie kukokota mpira huko nyuma kuupeleka mbele ili halo Antony katoka??Kocha kachelewa kufanya sub
Jamaa hata kupossess mpira ni shida duhHuyu jamaa tulipigea hajui chochote
Zikeni tu hapo hapoTunazika Emirates au tunasafrisha Old Trafford?chagueni
Tunajipanga tunakuja soonDaaah hawa wajinga tumewapa nafasi ya kupiga mikelele
Msenge snHuyo ten hag nae mseng mseng sn
Manchester haina forward mwenye akili , rashford ni kono konoTumeadhibiwa kwa sababu ya qualities.
Tulia tunakojoa kojo wakati dem yupo exited state wameloaaaaaaaaDaaah hawa wajinga tumewapa nafasi ya kupiga mikelele
Bado ana fikra za kitoto zenye kuambatana na ushamba.Kubalini tu.Antony mmepgwa waungwana.
Weghorst ni mchezaji wa dakika 45 mpaka 60 tu kama akianza. Zaidi ya hapo hana msaada wowoteTangu dk 75-80 ulazima wa sub ulionekana kabisa ila kocha akaleta kiburi cha kiboya, kule mbele weghorst alikuwa anafanya nini? Garnacho ilishindikana nini kuingizwa ili asaidie kukokota mpira huko nyuma kuupeleka mbele ili halo Antony katoka??
Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye nafasi yake.Kwangu mimi kufungwa na ARSENAL ni zaidi ya fedheha.
Hongereni GUNNERS kwa ushindi.
Mrudi tena kutuletea kelele zenu timu huna kelele kibaaaao unategemea mpira wa bahati na sibu kama bikoAcha arsenal washinde tu kocha Ni fala sana


Yaan ten hag Kanikera sana na hilo bichwa lake Kama fuvu la dagaa.Kipara ndezi ana kiburi kama haoni