King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Tulia bibie, hii game arsenal ananyooshwa Vizuri mno.Man u mnazingua bora niswitch to al nassir nimungalie cr7 mara ya mwsho mwsho b4 kuretire
Tulia bibie, hii game arsenal ananyooshwa Vizuri mno.Man u mnazingua bora niswitch to al nassir nimungalie cr7 mara ya mwsho mwsho b4 kuretire
Mtu hajatengenezewa nafasi yyte ya goli, unatk afunge kimiujiza auWegost bora kocha angejaza viungo wacheze bila mshambuliaji mbele
Mjomba achana na parteyKwa namna huyu Partey alivyokuwa anatukuzwa na GUNNERS,Rashford kamfanya aonekane wa kawaida sana tu. Goli letu limeanzia kwake.
Umemuona hata akipata mpira kwa bahati mbaya anakuaje laknMtu hajatengenezewa nafasi yyte ya goli, unatk afunge kimiujiza au