Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,325
Hapo kwa Mctomney ndipo kilipo kidonda, ila maeneo mengine yote ya mwili najisikia niko vizuri kabisa.
Naombeni nitafutueni tiba ya eneo hilo, huyo De Jong naona kama munanitibu kichwa ilhali mimi naugua kiuono.
Chonde chonde doctor, okoa maisha ya mgonjwa mimi, bado Dunia naipenda.
Naombeni nitafutueni tiba ya eneo hilo, huyo De Jong naona kama munanitibu kichwa ilhali mimi naugua kiuono.
Chonde chonde doctor, okoa maisha ya mgonjwa mimi, bado Dunia naipenda.
