Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
suala la kutokuwa na kikosi mikosi cha kuimplement any tactics ni uongo wakuu.... tuna wachezaji wazuri tu sio the best Ila ni good players......
mbona kina Maxim, Guimares, longstaff waliweza adopt tactic za Edd howe pale Newcastle
Mbona kina guehi, Mitchel na poise na Gallagher waliweza adopt tactics za Vieira pale Crystal
Mbona kina Mac Alister, mwepu, calcedo waliweza adopt tactics za Graham potter
Je wachezaji wao ni bora kuliko wachezaji wetu? Jibu ni hapana
Tumekuwa na poor coaching almost miaka 3 yote ya nyuma....huyu Ralf rangnick ni poor coaching nafikiri sababu hakuwa yupo na timu muda mrefu...
Na kama unasema Yeye Ralf Rangnick ni kocha mzuri mbona alikuwa anapewa taarifa na Ralf Kornecta
[
View attachment 2280109
mbona kina Maxim, Guimares, longstaff waliweza adopt tactic za Edd howe pale Newcastle
Mbona kina guehi, Mitchel na poise na Gallagher waliweza adopt tactics za Vieira pale Crystal
Mbona kina Mac Alister, mwepu, calcedo waliweza adopt tactics za Graham potter
Je wachezaji wao ni bora kuliko wachezaji wetu? Jibu ni hapana
Tumekuwa na poor coaching almost miaka 3 yote ya nyuma....huyu Ralf rangnick ni poor coaching nafikiri sababu hakuwa yupo na timu muda mrefu...
Na kama unasema Yeye Ralf Rangnick ni kocha mzuri mbona alikuwa anapewa taarifa na Ralf Kornecta
[
View attachment 2280109

