shakwenya
Senior Member
- Mar 5, 2017
- 177
- 303
Naunga mkono hoja nafikiri wale watumike kwenye mechi zinazo wahitaji tu lakn sio wa kuanza first 11 kila wiki viungo gan hawapo creative utazan n CBYani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.
Baada ya misimu mitatu tutakuwa tumeshatoa takataka zote.
Sent using Jamii Forums mobile app



