Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?
 
david de gea anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 5 wenye punguzo la mshahara, kwa sasa analipwa paundi 375000, mkataba mpya utamfanya alipwe paundi 250000. vipi tuanze kumsifu john murtough au muda wake bado?... CHIEF MKWAWA
Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?
Yani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.

Baada ya misimu mitatu tutakuwa tumeshatoa takataka zote.
 
Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?
Yani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.

Baada ya misimu mitatu tutakuwa tumeshatoa takataka zote.
 
Yani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.

Baada ya misimu mitatu tutakuwa tumeshatoa takataka zote.
Naunga mkono hoja nafikiri wale watumike kwenye mechi zinazo wahitaji tu lakn sio wa kuanza first 11 kila wiki viungo gan hawapo creative utazan n CB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa

Sent using Jamii Forums mobile app
De gea kosa lake nn? Au ndiyo zile propaganda za kusema hapigi pasi? Hayo mambo ya kupiga pasi waachie midfielders kipa kazi yake kudaka na de gea hana shaka kwenye hilo.

Msitake tuondoe watu kwa vigezo visivyo na macho wala miguu alafu baadae tusumbuke miaka 10 kutafuta replacement.
 
david de gea anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 5 wenye punguzo la mshahara, kwa sasa analipwa paundi 375000, mkataba mpya utamfanya alipwe paundi 250000. vipi tuanze kumsifu john murtough au muda wake bado?... CHIEF MKWAWA
Kama kweli itakuwa hivi hapa nampongeza. Tuna mikataba ya ajabu sana, wachezaji wengi wapo overpaid.

Hata sajili mpya haipaswi kuvuka wa mshahara zaidi ya $300k. Mungu atuepushe na ule upupu wa 'Pogba mzungu' mwenye muuonekano wa utulivu kwa nje kutoka Barcelona.

Barcelona wanataka kutuuzia matatizo na tukimsajili watashangilia wao kwao ni janga. Mshahara wa zaidi ya $375k pia hapo aliupunguza kutoka $400k na bado wanataka ada ya euro 80M.

Frenkie De Jong hata kama EtH anamtaka hapa tutajutia sana huu usajili tunarudi kule kule kwenye kusajili wachezaji wenye tamaa ya pesa kuliko uwezo wao halisi. Gharama ya De Jong ni nusu ya gharama tutakazotumia kumleta Ruben Neves kwa nusu mshahara na ada ya uhamisho.
 
Natamani iwe hivi, itakuwa mwanzo mzuri wa rebuild ya United.
formation_6_1_2022_%209_53_17%20PM.jpg
 
Matic
Pogba
Lingard
Martial
Bailly
Jones
Mata
AWB
Telles
Dalot
Perreira


Hili panga liendelee tu maana tulijaza takataka kibao.
Fabrizio anasema Dalot is appreciated ndani ya bodi na chances za kuondoka ni chache sana labda itokee huge bid, Bissaka wanasubiri tu offer asepe so deal la Timber naona litakuwa done siku si nyingi
 
Matic
Pogba
Lingard
Martial
Bailly
Jones
Mata
AWB
Telles
Dalot
Perreira


Mata nae atunae fagio linaendelea.
1654162913276.jpg
 
Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa

Sent using Jamii Forums mobile app
De gea kwa Ten Hag habaki, De gea ni GK siku hizi makipa wa kisasa ni sweeper hivyo ata struggle.

Ila ukiangalia kikosi chetu tuna maeneo muhimu ya kusajili kwanza, hivyo anaweza kucover hio nafasi kwanza halafu kwa baadae itafutwe replacement.
 
Back
Top Bottom