Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Post yangu uliyoquote nilimaanisha hiki kitu, nashangaa hukunielewa.

Uwepo wa Ronaldo upfront unamruhusu kocha kuimprove squad kwenye other positions. Kuondoka kwa Ronaldo either united waspend big money kubuy CF wa Kumreplace Ronaldo kitu kitachozuia kuimprove other positions (financially wise) OR waimprove other positions huku wakitafuta cheap CF kitu kinachowarudisha nyuma quality wise.

Ten hag hili suala analiangalia kiufundi zaidi wakati management wanaliangalia kiufundi & kiuchumi.
Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.

Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?

Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.

Individual efforts zilitubeba atleast last season.
 
Ishu ya Raphina mkuu haihusiani na klabu hizo ni mchezaji binafsi, ndoto zake ni Barca, ila Chelsea washakubaliana kila kitu na leeds imebaki player side kuamua la sivyo deal ingeshaisha muda tu
Hata ishu ya FDJ Ni mchezaji kwa MUJIBU was Laporta .FDJ inasemekana anapenda kubaki Barca ,

Ni ukata wa pesa tu ndio utamfanya aondoke Barca kinyonge .

Toka yupo Ajax ,FDJ aliwahi kusema hivi

He told Voetbal International that he was planning on taking a different route to his dream club via a club like Arsenal.

He said, “In my mind I have had the following list for a long time: Ajax-Arsenal-Barcelona, call it the Marc Overmars route but then again, if you can go directly to Barcelona, then you are right where you want to be. Faster than you ever dared to dream.”


Kwahiyo yupo hapo Barca klabu ya ndoto yake , Dili lake kwenda man u Ni Kama Anafosiwa TU sababu ya njaa za Barcelona .

🚨🎖️| The only thing that is holding up Frenkie de Jong to Man Utd is the player himself. He is reluctant to leave Barcelona and is not that convinced by Erik Ten Hag's project. [@MarkOgden_] #fcblive
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Kwa nini tumng'ang'anie mchezaji aliyeomba kuondoka? (genuine desire cannot be negotiated)

Tuheshimu maamuzi yake aruhusiwe kuondoka. Tena mimi ningeshauri waende mbali zaidi watoe notice mapema kwa timu nzima anayetaka kuondoka aseme mapema kabla dirisha halijafungwa.
 
Copycats
20220703_155253.png
 
hiyo paragraph ya mwisho umeielewa vipi, ok barca wanaweza kukataa pesa ya kumuuza de jong ila hawatakubali de jong aendelee kuramba euro laki 4 hadi 5 kwa wiki.
Huyo Juan Larpota ana akili sana. Kamuweka mtegoni Frenkie De Jong ili apunguze mshahara kama kweli anataka kubaki Barca. Mshahara wake wa sasa ni $354k. Wao wanataka ushuke mpaka $200k. Josep Bartameu na bodi yake ndio waliompa huu mkataba De Jong, Laporta anasafisha makosa ya nyuma ndiye aliyemuondoa Messi pia.

Kumbuka Larpota ameishakubali ada ya uhamisho ya euro 65M tayari ila ugomvi upo ktk gharama za haki za matangazo ambayo yeye anataka sisi tulipe euro 20M ndio aturuhusu tufanye nae mazungumzo binafsi ya mkataba wake na sisi. (De Jong bado ana mkataba mrefu na Barca mpaka 2026)

United wanataka kutoa mshahara wa $250k - 300k kwa juma ndani ya miaka 5. Haya mazunguzo yatafanyika endapo Larpota atakubali gharama za haki ya matangazo ambayo United wanataka kulipa euro 10M.
 
Kwa nini tumng'ang'anie mchezaji aliyeomba kuondoka? (genuine desire cannot be negotiated)

Tuheshimu maamuzi yake aruhusiwe kuondoka. Tena mimi ningeshauri waende mbali zaidi watoe notice mapema kwa timu nzima anayetaka kuondoka aseme mapema kabla dirisha halijafungwa.
Sijasema tumzuie Ronaldo kuondoka.

Nipo concerned na sababu ya yeye kuondoka.

Hatuko na ambition yeyote as of now.

Kwa misery tulionayo hatujaimaliza, bado inaongezeka nyingine.
 
Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.

Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?

Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.

Individual efforts zilitubeba atleast last season.
So alikuja kufanya nini kama hakuna timu ya kuimplement tactics?

We nimekuona mbishi, simply.
 
Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.

Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?

Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.

Individual efforts zilitubeba atleast last season.
Mashabiki inatakiwa wawe wavumilivu kwa EtH mpaka pale atakapopata team kamili.Kiufupi hii season tunayoingia ni transition nyingine mpya.
 
Sijasema tumzuie Ronaldo kuondoka.

Nipo concerned na sababu ya yeye kuondoka.

Hatuko na ambition yeyote as of now.

Kwa misery tulionayo hatujaimaliza, bado inaongezeka nyingine.
Sure Jombaa. Issue kubwa iliyopo huko ndani inaaminika EtH yeye mwenyewe kwa moyo mmoja kaamua dirisha hili tusiingie sokoni mazima. Budget aliyopewa na bodi ni pound 150M without sales.

Mpaka sasa pound 14.6M tayari italipwa Feyenoord ukijumlisha na hiyo ya Barcelona pound 73.2M. Itabaki pound 50M, sioni kama timu inaweza kusajili zaidi ya wachezaji wanne dirisha hili unless wauzwe kadhaa.
 
Hata ishu ya FDJ Ni mchezaji kwa MUJIBU was Laporta .FDJ inasemekana anapenda kubaki Barca ,

Ni ukata wa pesa tu ndio utamfanya aondoke Barca kinyonge .

Toka yupo Ajax ,FDJ aliwahi kusema hivi

He told Voetbal International that he was planning on taking a different route to his dream club via a club like Arsenal.

He said, “In my mind I have had the following list for a long time: Ajax-Arsenal-Barcelona, call it the Marc Overmars route but then again, if you can go directly to Barcelona, then you are right where you want to be. Faster than you ever dared to dream.”


Kwahiyo yupo hapo Barca klabu ya ndoto yake , Dili lake kwenda man u Ni Kama Anafosiwa TU sababu ya njaa za Barcelona .

| The only thing that is holding up Frenkie de Jong to Man Utd is the player himself. He is reluctant to leave Barcelona and is not that convinced by Erik Ten Hag's project. [@MarkOgden_] #fcblive
Yeah ni kweli kabisa
 
suala la kutokuwa na kikosi mikosi cha kuimplement any tactics ni uongo wakuu.... tuna wachezaji wazuri tu sio the best Ila ni good players......

mbona kina Maxim, Guimares, longstaff waliweza adopt tactic za Edd howe pale Newcastle

Mbona kina guehi, Mitchel na poise na Gallagher waliweza adopt tactics za Vieira pale Crystal

Mbona kina Mac Alister, mwepu, calcedo waliweza adopt tactics za Graham potter

Je wachezaji wao ni bora kuliko wachezaji wetu? Jibu ni hapana

Tumekuwa na poor coaching almost miaka 3 yote ya nyuma....huyu Ralf rangnick ni poor coaching nafikiri sababu hakuwa yupo na timu muda mrefu...

Na kama unasema Yeye Ralf Rangnick ni kocha mzuri mbona alikuwa anapewa taarifa na Ralf Kornecta
[
View attachment 2280109
 
Nafikiri Hawa The Athletic walitoa taarifa nzima ni jambo la ajabu sana kocha wetu kuolewa tactics mara nyingi katikati ya game toka Kwa mtu anaeamgalia Kwa tv
IMG_20220703_195906.jpg
 
Tena mshahara wake tutalipa wachezaji watatu wapya,.Ila Man u tujifunze kutosajili wachezaji kibiashara,huyo ronaldo mwaka jana hakua kwenye plan,na huenda tungemtemea Cavani tungemaliza vizuri tu
Kusema kweli ujio wa CR7 ulimuuma Cavani tangu kupokonywa jezi namba 7 pamoja na kusugua benchi mara kwa mara.
Kuna mechi ulikuwa unaona kabisa hii inamfaa yeye ila ukubwa wa jina la Ronny ukawa unambeba.
Mwishowe jamaa akaamua aumalizie msimu kitaa na familia yake tu.
Kusema kweli tulimkosea Cavani,kwa ,mtizamo wangu mimi.
 
Back
Top Bottom