Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Yeah. Upo sahihi.Sure Jombaa. Issue kubwa iliyopo huko ndani inaaminika EtH yeye mwenyewe kwa moyo mmoja kaamua dirisha hili tusiingie sokoni mazima. Budget aliyopewa na bodi ni pound 150M without sales.
Mpaka sasa pound 14.6M tayari italipwa Feyenoord ukijumlisha na hiyo ya Barcelona pound 73.2M. Itabaki pound 50M, sioni kama timu inaweza kusajili zaidi ya wachezaji wanne dirisha hili unless wauzwe kadhaa.
Hilo fungu alilopewa angegusa maeneo yote muhimu.
Kuna namba zinahitaji replacement ASAP.
Tukianza msimu hatujazifanyia kazi, we're finished before we start.
— Sir Alex Ferguson on Eric Cantona: 




